Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Pole brother, unaumia moyo kwa kumwamini kanjanja flani wa huko matakoni mwa nchi
 
The thing is the guy doesnt provide adequate info like yesterday he was here reading sons of men yellng for the simulizi instead of responding he just said am in mbeya, aaah! men who does that to the die hard fans?

He just had to give excuse that am not getting u guys the simulizi due to this and that yani he plainly said am in mbeya without responding to fans' wishes. Anyways I rest my case and agree to disagree here
 
Subiri episode inayofuata punguza mchecheto mamy
 
Wateja kwan mnauziwa mchanga wa mwamposa, mnampa sh ngp [emoji23]
 
UMUGHAKA kaenda Mbeya kutafuta utajiri wa Kibegi, naona kina Unique Flower, To yeye na green city wamemweka kitako, kwamba Baraka za Mungu hutajirisha nazo hazina majuto.
 
UMUGHAKA kaenda Mbeya kutafuta utajiri wa Kibegi, naona kina Unique Flower, To yeye na green city wamemweka kitako, kwamba Baraka za Mungu hutajirisha nazo hazina majuto.
 
UMUGHAKA kaenda Mbeya kutafuta utajiri wa Kibegi, naona kina Unique Flower, To yeye na green city wamemweka kitako, kwamba Baraka za Mungu hutajirisha nazo hazina majuto.
 
Yaan watu washenzi sana,,,mtu unamjia mtu anaetoa msaada,,,watu wamefanya kama hitaji la lazima yaan mmegeuza hii ni pumzi??
 
Jamaa kasema ameenda kumsalimia kamanda wake Gabi ruanda prison mlitaka aage vp tulieni akiwa tayari mzigo utashushwa tu..daaa! Ila arosto nikitumbaya had inafikia watu kutoleana lugha chafu.
Tena kwa waliofuatilia hadithi iliyopita, safari hiyo ya Mbeya, ni kama muendelezo wa ile hadithi. Pia, inathibitisha kuwa alichotusimulia ni kweli! Gaby alikuwa muhusika mkuu, na kwenye simulizi ile, alituambia kuwa jamaa alifungwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…