Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

hii ndo shida ya watuma simulizi wa jf anaanza vizuri af akipata audience analewa. Angalia simulizi ya kwanza the guy alikua anashusha vitu bampa tu bampa mwishoni akawa full of xqz and tha was after kuona amekubalika yani if its my wish tuache hata kumkumbusha trust me venye tunaonesha we desparately need this uyu atatutesa sana and here am refering kwa mtunzi mmija mzuriiiisaana hapa jf yani yeye ni zaidi sana ya huyu infact angeweza kufika mbali sana sasa baada ya kuona ana watu wengi akaanza pozi na xqzs kibao leo nipo safar leo kazi maalum leo nimeitwa leo naumwa leo hakuna umeme mpk watu wakaingia ganzi i bet he is still wondering. Jamani watunzi mjue hakuna Fanani bila Hadhira yani bila sisi wewe kazi yako ni bure utakaa ujsimulie mwenyewe udate tukuwahishe milembe. Yes huwezi kutuma kila siku bas toa ratiba na uifuate maana hatujakuomba ulete na hujatuomba tusome, umeshindwa kutuma sema leo situmi watu waendelee kuijenga nchi masikini wasiingie jf kukutafta sa unatujia na habari za uko mbeya inahusu nini hapa na unaona watu wanakuita af pozi zote hizi ukija umetupia kimoja umesepa aisee elewa njaa ikiuma saana inakuja inaacha acha uletewe chakula gani unaweza usile na wewe yanaelekea kukukuta soon mtu umeanza vizuri umepata neema ya kukubalika fastaa c ndo ungetumia majira kwa hekima maana hii kwako ni miaka saba ya mavuno bad enough hujui itakuja saba ya ukame atakuja mtu mwenye simulizi zake anakuoutsmart the way u outsmarted others ukawa talk of town niamini mimi utasahaulika na itakua mapema zaidi kwasababu umeanza kulewa kabla jua halijazama. All the best.
Pole brother, unaumia moyo kwa kumwamini kanjanja flani wa huko matakoni mwa nchi
 
Easy man! Yeye ni binadamu hana ratiba fixed kama ww.

We just have to understand him and appreciate what he delivers cz we don’t pay him for writing us a story and he doesn’t expect anything from us either,.

Hata kutuambia alipo au kilichomfanya ashindwe kuandika ni hekima yake tu ila he is not answerable to anyone in here, so chill relax kurya man will definitely come back with next eps till we finish the story.
The thing is the guy doesnt provide adequate info like yesterday he was here reading sons of men yellng for the simulizi instead of responding he just said am in mbeya, aaah! men who does that to the die hard fans?

He just had to give excuse that am not getting u guys the simulizi due to this and that yani he plainly said am in mbeya without responding to fans' wishes. Anyways I rest my case and agree to disagree here
 
The thing is the guy doesnt provide adequate info like yesterday he was here reading sons of men yellng for the simulizi instead of responding he just said am in mbeya, aaah! men who does that to the die hard fans? he just had to give excuse that am not getting u guys the simulizi due to this and that yani he plainly said am in mbeya without responding to fans' wishes. Anyways I rest my case and agree to disagree here
Subiri episode inayofuata punguza mchecheto mamy
 
Huyu UMUGHAKA shida yake ndio hii. Kwani kusema leo niko safarini sitaweka chochote inam-cost nini? Au angeweka ratiba kwa mfano aseme "kila siku saa moja usiku naweka mwendelezo" kusingekuwa na manung'uniko haya ya wateja wake. Mpaka watu wanakata tamaa bhana..[emoji35]
Wateja kwan mnauziwa mchanga wa mwamposa, mnampa sh ngp [emoji23]
 
Kuna uzi mwingine wa watu wa Kigoma, ameuleta Bujibuji Simba Nyamaume ngoja tuhamie huko.

UMUGHAKA kaenda Mbeya kutafuta utajiri wa Kibegi, naona kina Unique Flower, To yeye na green city wamemweka kitako, kwamba Baraka za Mungu hutajirisha nazo hazina majuto.
 
Kuna uzi mwingine wa watu wa Kigoma, ameuleta Bujibuji Simba Nyamaume ngoja tuhamie huko.

UMUGHAKA kaenda Mbeya kutafuta utajiri wa Kibegi, naona kina Unique Flower, To yeye na green city wamemweka kitako, kwamba Baraka za Mungu hutajirisha nazo hazina majuto.
 
Kuna uzi mwingine wa watu wa Kigoma, ameuleta Bujibuji Simba Nyamaume ngoja tuhamie huko.

UMUGHAKA kaenda Mbeya kutafuta utajiri wa Kibegi, naona kina Unique Flower, To yeye na green city wamemweka kitako, kwamba Baraka za Mungu hutajirisha nazo hazina majuto.
 
Easy man! Yeye ni binadamu hana ratiba fixed kama ww.

We just have to understand him and appreciate what he delivers cz we don’t pay him for writing us a story and he doesn’t expect anything from us either,.

Hata kutuambia alipo au kilichomfanya ashindwe kuandika ni hekima yake tu ila he is not answerable to anyone in here, so chill relax kurya man will definitely come back with next eps till we finish the story.
Yaan watu washenzi sana,,,mtu unamjia mtu anaetoa msaada,,,watu wamefanya kama hitaji la lazima yaan mmegeuza hii ni pumzi??
 
Jamaa kasema ameenda kumsalimia kamanda wake Gabi ruanda prison mlitaka aage vp tulieni akiwa tayari mzigo utashushwa tu..daaa! Ila arosto nikitumbaya had inafikia watu kutoleana lugha chafu.
Tena kwa waliofuatilia hadithi iliyopita, safari hiyo ya Mbeya, ni kama muendelezo wa ile hadithi. Pia, inathibitisha kuwa alichotusimulia ni kweli! Gaby alikuwa muhusika mkuu, na kwenye simulizi ile, alituambia kuwa jamaa alifungwa!
 
Back
Top Bottom