Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hata wewe unajaza uzi kwa hiyo comment yako ya kulaumu watu wanaotumia bando zao kwa gharama zao, ni heri ungekaa kimya tu bwashee 😁😁
Kama wajichange wamnunulie bando la 50k la mwezi hapo utaona ambavyo kila mtu anarudi nyuma Mana hayuko tayari kutoa nguvu/jasho lake ama muda wake mana Ni maumivu mno
 
Kama wajichange wamnunulie bando la 50k la mwezi hapo utaona ambavyo kila mtu anarudi nyuma
Mwenye utoaji wa kweli kutoka moyoni atatoa hiyo hela kumsapoti master, hao walalamikaji ni wanafiki wa hawapo tayari kumsapoti bando master ili awe analeta story kila siku.

Nampongeza umghaka kwa utaratibu wake wa kutoa hii story maana hakuna aliyemtuma mchango wowote so watulie tu.
 
kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida tu,hizi simulizi ni za kweli,kama ni chachandu ni kidogo sana,ndio maana hazijapangiliwa kiutunzi,mfano leo anabeba tofali,mara yuko eco dege,mara anasajili laini,mara analisha misukule,,hizi ni simulizi za kweli.
Kumbe na wewe ni msukule,unaamini uongo wa umughaka,hizo ni chai tu
 
Utamandiwa na tutaambiwa ametutuma

 
aache kazi zake aje akupe wewe burudani unamlipa? kwanza hatujakulazimisha upo kwenye siku zako nini?
 
aache kazi zake aje akupe wewe burudani unamlipa? kwanza hatujakulazimisha upo kwenye siku zako nini?
NJaa mbaya sana geuka tukojoe ule mama maana umekurupuka bila kupiga mswaki unatunukia mdomo mlivokua mnaambiwa msome mliona kuwinda ndege dili sahivi hamuelewi hata sentesi fupi fupi mazafantas hapa ni wanaume tunatunishiana misuli unakuja na chuchu kandambili zako utafi...
 
Wewe umetumwa kuja wachafua wapemba. Hadithi yako ya hovyo na uongo mwingi sana. Watu wanafanya biashara huku Bara mmelala unakuja sema sijui shetani....umetumwa wewe angalia sana utasahaulika humu JF.

Na uwaombe radhi wapemba kwa kuwaharibia image yao naona sifa zinataka kukupeleka vibaya.😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑
 
Ohooo huyu chizi maarifa katokea wap tena jmn
 
Captain mbona wewe pia uliwachafuaga wakongo ulivoenda kuwanga uwe don japo uzi wenyewe uliutelekeza πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…