Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hata wewe unajaza uzi kwa hiyo comment yako ya kulaumu watu wanaotumia bando zao kwa gharama zao, ni heri ungekaa kimya tu bwashee 😁😁
Kama wajichange wamnunulie bando la 50k la mwezi hapo utaona ambavyo kila mtu anarudi nyuma Mana hayuko tayari kutoa nguvu/jasho lake ama muda wake mana Ni maumivu mno
 
Kama wajichange wamnunulie bando la 50k la mwezi hapo utaona ambavyo kila mtu anarudi nyuma
Mwenye utoaji wa kweli kutoka moyoni atatoa hiyo hela kumsapoti master, hao walalamikaji ni wanafiki wa hawapo tayari kumsapoti bando master ili awe analeta story kila siku.

Nampongeza umghaka kwa utaratibu wake wa kutoa hii story maana hakuna aliyemtuma mchango wowote so watulie tu.
 
kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida tu,hizi simulizi ni za kweli,kama ni chachandu ni kidogo sana,ndio maana hazijapangiliwa kiutunzi,mfano leo anabeba tofali,mara yuko eco dege,mara anasajili laini,mara analisha misukule,,hizi ni simulizi za kweli.
Kumbe na wewe ni msukule,unaamini uongo wa umughaka,hizo ni chai tu
 
Utamandiwa na tutaambiwa ametutuma

Mwenye utoaji wa kweli kutoka moyoni atatoa hiyo hela kumsapoti master, hao walalamikaji ni wanafiki wa hawapo tayari kumsapoti bando master ili awe analeta story kila siku.

Nampongeza umghaka kwa utaratibu wake wa kutoa hii story maana hakuna aliyemtuma mchango wowote so watulie tu.
 
hii ndo shida ya watuma simulizi wa jf anaanza vizuri af akipata audience analewa. Angalia simulizi ya kwanza the guy alikua anashusha vitu bampa tu bampa mwishoni akawa full of xqz and tha was after kuona amekubalika yani if its my wish tuache hata kumkumbusha trust me venye tunaonesha we desparately need this uyu atatutesa sana and here am refering kwa mtunzi mmija mzuriiiisaana hapa jf yani yeye ni zaidi sana ya huyu infact angeweza kufika mbali sana sasa baada ya kuona ana watu wengi akaanza pozi na xqzs kibao leo nipo safar leo kazi maalum leo nimeitwa leo naumwa leo hakuna umeme mpk watu wakaingia ganzi i bet he is still wondering. Jamani watunzi mjue hakuna Fanani bila Hadhira yani bila sisi wewe kazi yako ni bure utakaa ujsimulie mwenyewe udate tukuwahishe milembe. Yes huwezi kutuma kila siku bas toa ratiba na uifuate maana hatujakuomba ulete na hujatuomba tusome, umeshindwa kutuma sema leo situmi watu waendelee kuijenga nchi masikini wasiingie jf kukutafta sa unatujia na habari za uko mbeya inahusu nini hapa na unaona watu wanakuita af pozi zote hizi ukija umetupia kimoja umesepa aisee elewa njaa ikiuma saana inakuja inaacha acha uletewe chakula gani unaweza usile na wewe yanaelekea kukukuta soon mtu umeanza vizuri umepata neema ya kukubalika fastaa c ndo ungetumia majira kwa hekima maana hii kwako ni miaka saba ya mavuno bad enough hujui itakuja saba ya ukame atakuja mtu mwenye simulizi zake anakuoutsmart the way u outsmarted others ukawa talk of town niamini mimi utasahaulika na itakua mapema zaidi kwasababu umeanza kulewa kabla jua halijazama. All the best.
aache kazi zake aje akupe wewe burudani unamlipa? kwanza hatujakulazimisha upo kwenye siku zako nini?
 
aache kazi zake aje akupe wewe burudani unamlipa? kwanza hatujakulazimisha upo kwenye siku zako nini?
NJaa mbaya sana geuka tukojoe ule mama maana umekurupuka bila kupiga mswaki unatunukia mdomo mlivokua mnaambiwa msome mliona kuwinda ndege dili sahivi hamuelewi hata sentesi fupi fupi mazafantas hapa ni wanaume tunatunishiana misuli unakuja na chuchu kandambili zako utafi...
 
Wewe umetumwa kuja wachafua wapemba. Hadithi yako ya hovyo na uongo mwingi sana. Watu wanafanya biashara huku Bara mmelala unakuja sema sijui shetani....umetumwa wewe angalia sana utasahaulika humu JF.

Na uwaombe radhi wapemba kwa kuwaharibia image yao naona sifa zinataka kukupeleka vibaya.😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑
 
Wewe umetumwa kuja wachafua wapemba. Hadithi yako ya hovyo na uongo mwingi sana. Watu wanafanya biashara huku Bara mmelala unakuja sema sijui shetani....umetumwa wewe angalia sana utasahaulika humu JF. Na uwaombe radhi wapemba kwa kuwaharibia image yao naona sifa zinataka kukupeleka vibaya.[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Ohooo huyu chizi maarifa katokea wap tena jmn
 
Wewe umetumwa kuja wachafua wapemba. Hadithi yako ya hovyo na uongo mwingi sana. Watu wanafanya biashara huku Bara mmelala unakuja sema sijui shetani....umetumwa wewe angalia sana utasahaulika humu JF. Na uwaombe radhi wapemba kwa kuwaharibia image yao naona sifa zinataka kukupeleka vibaya.😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑
Captain mbona wewe pia uliwachafuaga wakongo ulivoenda kuwanga uwe don japo uzi wenyewe uliutelekeza πŸ˜€πŸ˜€
 
Back
Top Bottom