Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Mkuu naomba ni tag, maana nimetafuta siioni
umeambiwa kila mpemba ni ivyo, kwan bara hakuna wenye pesa za halali na za manyau nyau. usipaniki na mabukula yako budda hausemwi wewWewe umetumwa kuja wachafua wapemba. Hadithi yako ya hovyo na uongo mwingi sana. Watu wanafanya biashara huku Bara mmelala unakuja sema sijui shetani....umetumwa wewe angalia sana utasahaulika humu JF. Na uwaombe radhi wapemba kwa kuwaharibia image yao naona sifa zinataka kukupeleka vibaya.[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
KhekhekhekhekheWewe umetumwa kuja wachafua wapemba. Hadithi yako ya hovyo na uongo mwingi sana. Watu wanafanya biashara huku Bara mmelala unakuja sema sijui shetani....umetumwa wewe angalia sana utasahaulika humu JF. Na uwaombe radhi wapemba kwa kuwaharibia image yao naona sifa zinataka kukupeleka vibaya.😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
hii ndo shida ya watuma simulizi wa jf anaanza vizuri af akipata audience analewa. Angalia simulizi ya kwanza the guy alikua anashusha vitu bampa tu bampa mwishoni akawa full of xqz and tha was after kuona amekubalika yani if its my wish tuache hata kumkumbusha trust me venye tunaonesha we desparately need this uyu atatutesa sana and here am refering kwa mtunzi mmija mzuriiiisaana hapa jf yani yeye ni zaidi sana ya huyu infact angeweza kufika mbali sana sasa baada ya kuona ana watu wengi akaanza pozi na xqzs kibao leo nipo safar leo kazi maalum leo nimeitwa leo naumwa leo hakuna umeme mpk watu wakaingia ganzi i bet he is still wondering. Jamani watunzi mjue hakuna Fanani bila Hadhira yani bila sisi wewe kazi yako ni bure utakaa ujsimulie mwenyewe udate tukuwahishe milembe. Yes huwezi kutuma kila siku bas toa ratiba na uifuate maana hatujakuomba ulete na hujatuomba tusome, umeshindwa kutuma sema leo situmi watu waendelee kuijenga nchi masikini wasiingie jf kukutafta sa unatujia na habari za uko mbeya inahusu nini hapa na unaona watu wanakuita af pozi zote hizi ukija umetupia kimoja umesepa aisee elewa njaa ikiuma saana inakuja inaacha acha uletewe chakula gani unaweza usile na wewe yanaelekea kukukuta soon mtu umeanza vizuri umepata neema ya kukubalika fastaa c ndo ungetumia majira kwa hekima maana hii kwako ni miaka saba ya mavuno bad enough hujui itakuja saba ya ukame atakuja mtu mwenye simulizi zake anakuoutsmart the way u outsmarted others ukawa talk of town niamini mimi utasahaulika na itakua mapema zaidi kwasababu umeanza kulewa kabla jua halijazama. All the best.
Huyu jamaa ameshaleta story mbili na zimefikia ukomo, labda useme hukuziona na kuzipitia na zote zimeisha kwa mtindo huu.hii ndo shida ya watuma simulizi wa jf anaanza vizuri af akipata audience analewa. Angalia simulizi ya kwanza the guy alikua anashusha vitu bampa tu bampa mwishoni akawa full of xqz and tha was after kuona amekubalika yani if its my wish tuache hata kumkumbusha trust me venye tunaonesha we desparately need this uyu atatutesa sana and here am refering kwa mtunzi mmija mzuriiiisaana hapa jf yani yeye ni zaidi sana ya huyu infact angeweza kufika mbali sana sasa baada ya kuona ana watu wengi akaanza pozi na xqzs kibao leo nipo safar leo kazi maalum leo nimeitwa leo naumwa leo hakuna umeme mpk watu wakaingia ganzi i bet he is still wondering. Jamani watunzi mjue hakuna Fanani bila Hadhira yani bila sisi wewe kazi yako ni bure utakaa ujsimulie mwenyewe udate tukuwahishe milembe. Yes huwezi kutuma kila siku bas toa ratiba na uifuate maana hatujakuomba ulete na hujatuomba tusome, umeshindwa kutuma sema leo situmi watu waendelee kuijenga nchi masikini wasiingie jf kukutafta sa unatujia na habari za uko mbeya inahusu nini hapa na unaona watu wanakuita af pozi zote hizi ukija umetupia kimoja umesepa aisee elewa njaa ikiuma saana inakuja inaacha acha uletewe chakula gani unaweza usile na wewe yanaelekea kukukuta soon mtu umeanza vizuri umepata neema ya kukubalika fastaa c ndo ungetumia majira kwa hekima maana hii kwako ni miaka saba ya mavuno bad enough hujui itakuja saba ya ukame atakuja mtu mwenye simulizi zake anakuoutsmart the way u outsmarted others ukawa talk of town niamini mimi utasahaulika na itakua mapema zaidi kwasababu umeanza kulewa kabla jua halijazama. All the best.
niko mafyati mkuu,tuonane 🤣🤣🤣🤣🤣Mimi kabisaaa! Au mwingine?
roho ya wivu na chuki ulinayo,itakugharimu sana kwenye maisha yako usipobadilika,kumbuka maneno yangu siku zote....Kumbe na wewe ni msukule,unaamini uongo wa umughaka,hizo ni chai tu
Ningekuwa mimi ningekuwa naleta ka episodi kamoja baada ya miezi 6, sipangiwiHuyu Umughaka kazi yake ni kusimulia story tu jamani hana issue zingine za kufanya? Mnamlipa? Kwanza ametoa taarifa yuko safarini Mbeya, huko mbeya mnajua yuko kwenye hali gani, mbona mnakosa utu, mbona uvumilivu unawashinda bandugu mnaanza kuongeeeea utadhani mnalipia hii huduma ya hadithi.....kuweni na utu story ataileta kwa wakati wake
Vipi yule mtoto uliyemtorosha ulishamrudisha?Wewe umetumwa kuja wachafua wapemba. Hadithi yako ya hovyo na uongo mwingi sana. Watu wanafanya biashara huku Bara mmelala unakuja sema sijui shetani....umetumwa wewe angalia sana utasahaulika humu JF. Na uwaombe radhi wapemba kwa kuwaharibia image yao naona sifa zinataka kukupeleka vibaya.😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Karne hii unaamini misukule,we tayari umepoteaniko mafyati mkuu,tuonane 🤣🤣🤣🤣🤣
roho ya wivu na chuki ulinayo,itakugharimu sana kwenye maisha yako usipobadilika,kumbuka maneno yangu siku zote....
Kwahiyo misukule mwisho ilikuwa karne ipi?Karne hii unaamini misukule,we tayari umepotea
Sema mwamba Dar haijakubadilisha tabia…. Mimi Dar imenifanya kua bandidu sana asee tofaut na nilivyofika miaka mitano iliyopita..Aisee watu wa Mbeya Mgonile?
kumbe mko serious hivi na maisha!.
Jana nimepita mahali nikakuta watu wamekusanyika kibao nikadhani labda wanaangalia mpira kumbe wako serious wakitazama Taarifa ya habari[emoji23][emoji23].
Hongereni sana kwa uaminifu wenu wa kufatilia mambo muhimu yanayoendelea Tanzania na duniani,kiukweli nimeshangaa sana kwasababu mkusanyiko ule kwa pale Dar es salaam utakuta kwenye mambo ya mpira tu na huwezi kuona eti watu wamekusanyika kijamaa wanaangalia taarifa ya habari!
Mmenikosha sana watu wa Mbeya!
[emoji23][emoji23][emoji23]