Yani ngoja NAMI nishushe simulizi zangu za kichawiAisee watu wa Mbeya Mgonile?
kumbe mko serious hivi na maisha!.
Jana nimepita mahali nikakuta watu wamekusanyika kibao nikadhani labda wanaangalia mpira kumbe wako serious wakitazama Taarifa ya habari[emoji23][emoji23].
Hongereni sana kwa uaminifu wenu wa kufatilia mambo muhimu yanayoendelea Tanzania na duniani,kiukweli nimeshangaa sana kwasababu mkusanyiko ule kwa pale Dar es salaam utakuta kwenye mambo ya mpira tu na huwezi kuona eti watu wamekusanyika kijamaa wanaangalia taarifa ya habari!
Mmenikosha sana watu wa Mbeya!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ndo umeturahisishia kazi😂 aah basi kumbe dish lilishachezaNdio ukweli huo, nenda kwenye page yake nyuzi zake zilizobuma zipo hakuzimaliza alisusa kama binti mwasiti, anaumia sana tena sana. Na ukijarib kuliongea hili anakua mkali kama bi chausiku wa itv, anarusha maneno ovyo kama bi nasma..
🤣🤣🤣🤣😂...Ohh my head hurts 🤓🤓Kuna mawili ww ndio umugaka sijui, au wewe una WIVU na chuki kali sana kwa huyu msimulia stori, mana naona thread zako za nyuma uliwah kusimulia stor fulan na pia kuna thread nyingine za matukio yako,lakin naona hujapata umaarufu kama wa huyu umugaka, stor zako hazikpata attention na zaid hazikuisha ulisusa kama demu sababu wana walijua ni stori za kutunga tu,
kwaio hio inakusumbua na kukuumiza moyo kias kwamba umeanza kurusha maneno kama bi khadija kopa.
Nimekuelewa ila mimi nilikuwa nafafanua juu ya hao wanaouliza kwenye previous post kuwa wakati jamaa wapo unguja nani alitahudumia huku dar.Stori za kutunga hazihitaji maswali mengi kausha
Unaipiga mwing kijanASikuamini macho yangu, hilo jitu liliendelea kula kwa speed 360 pasipo kunitazama Wala kujali uwepo wangu
Ila ghafla liliniambia "we mkurya unyama Sana" kiufupi unaupiga mwingi mkurya
Likanipa sharti nilimbie moja ya nyimbo zifutazo, kati ya nitaubeba au utu,.
Nilivyo jeuri, nikaamue nipite na verse ya saida karoli weeee nilikiona Cha moto
Mpemba ni mtani wangu kwa hyo hana ubavu wowoteMpemba hajakufanya kitu mbaya kweli wewe
Povu lote hili ni story tu, au na wewe hii story unaiuza??hii ndo shida ya watuma simulizi wa jf anaanza vizuri af akipata audience analewa. Angalia simulizi ya kwanza the guy alikua anashusha vitu bampa tu bampa mwishoni akawa full of xqz and tha was after kuona amekubalika yani if its my wish tuache hata kumkumbusha trust me venye tunaonesha we desparately need this uyu atatutesa sana and here am refering kwa mtunzi mmija mzuriiiisaana hapa jf yani yeye ni zaidi sana ya huyu infact angeweza kufika mbali sana sasa baada ya kuona ana watu wengi akaanza pozi na xqzs kibao leo nipo safar leo kazi maalum leo nimeitwa leo naumwa leo hakuna umeme mpk watu wakaingia ganzi i bet he is still wondering. Jamani watunzi mjue hakuna Fanani bila Hadhira yani bila sisi wewe kazi yako ni bure utakaa ujsimulie mwenyewe udate tukuwahishe milembe. Yes huwezi kutuma kila siku bas toa ratiba na uifuate maana hatujakuomba ulete na hujatuomba tusome, umeshindwa kutuma sema leo situmi watu waendelee kuijenga nchi masikini wasiingie jf kukutafta sa unatujia na habari za uko mbeya inahusu nini hapa na unaona watu wanakuita af pozi zote hizi ukija umetupia kimoja umesepa aisee elewa njaa ikiuma saana inakuja inaacha acha uletewe chakula gani unaweza usile na wewe yanaelekea kukukuta soon mtu umeanza vizuri umepata neema ya kukubalika fastaa c ndo ungetumia majira kwa hekima maana hii kwako ni miaka saba ya mavuno bad enough hujui itakuja saba ya ukame atakuja mtu mwenye simulizi zake anakuoutsmart the way u outsmarted others ukawa talk of town niamini mimi utasahaulika na itakua mapema zaidi kwasababu umeanza kulewa kabla jua halijazama. All the best.
Karma is real broHello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Mbona huyu jamaa ni wa member toka mwaka 2015? huyo UMUGHAKA kajiunga 2021 Kwaio inawezekanaje Umughaka afungue ID mpya iwe ya zamani kuliko yake halisi?Umughaka una IDs nyingi sana
Maisha ni marahisi sana, don't complicate the minor things. Hii ni hadithi tu, isikuumize kichwa kwa mapungufu yanayo jitokezaWatu wanahoji walipokuwa unguja nani alikuwa anafungua mlango ili kuhalalisha story kuwa ya hovyo na kuwa hakuna mwingine zaidi ya master anaweza kufanya hiyo kazi lkn hawahoji kabla ya master nani alishika hiyo kazi au baada ya master kuondoka nani atafanya hiyo kazi.
Ukichanganya Uzi wako ulioanzisha jana kuwa mlimroga mfanyakazi mwenzenu kwa kuwa alikuwa smart na anasifiwa na Boss + Unachoandika katika huu Uzi.Ha ha ha... Mimi kiuchumi sina tatizo nasikitika tu jamaa kaingizwa mjini ameshazoea sasa....haya yote heri lakini....🤣
Huyu ni attention seeker halafu bahati mbaya huwa hapati attention anayoitaka sababu hana nyota. So kuendelea kuwa relevant anaangalia uzi unaotrend anauvamia as if anajuana na mwenye uzi personally ni wa kumpuuzia tuu.Kuna mawili ww ndio umugaka sijui, au wewe una WIVU na chuki kali sana kwa huyu msimulia stori, mana naona thread zako za nyuma uliwah kusimulia stor fulan na pia kuna thread nyingine za matukio yako,lakin naona hujapata umaarufu kama wa huyu umugaka, stor zako hazikpata attention na zaid hazikuisha ulisusa kama demu sababu wana walijua ni stori za kutunga tu,
kwaio hio inakusumbua na kukuumiza moyo kias kwamba umeanza kurusha maneno kama bi khadija kopa.
Nina chuki, wivu, ukorofi,uhuni, ukichaaa na yote hayo na mengine babaa ake. Niambie. Upo pande zipi?Kuna mawili ww ndio umugaka sijui, au wewe una WIVU na chuki kali sana kwa huyu msimulia stori, mana naona thread zako za nyuma uliwah kusimulia stor fulan na pia kuna thread nyingine za matukio yako,lakin naona hujapata umaarufu kama wa huyu umugaka, stor zako hazikpata attention na zaid hazikuisha ulisusa kama demu sababu wana walijua ni stori za kutunga tu,
kwaio hio inakusumbua na kukuumiza moyo kias kwamba umeanza kurusha maneno kama bi khadija kopa.
Huyu wa hivi familia aitoe wapi banaUkichanganya Uzi wako ulioanzisha jana kuwa mlimroga mfanyakazi mwenzenu kwa kuwa alikuwa smart na anasifiwa na Boss + Unachoandika katika huu Uzi.
Wewe umetawaliwa na roho ya kwa nini (WIVU) yule awe hivi,
unaharufu ya ulozi.
Halafu sio smart kichwani inaonyesha ni mtu wa hovyo,
Naionea huruma familia yako