Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kumbe unakumbuka......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu jamaa mi huwa namshangaa sana.... Leo hii anamponda mpemba wakati mpemba amemtoa mbali sana kipindi hicho anamwita kaka mwarabu....
Nilipo soma comment zako za mwanzo nilidhani Huna akili timamu mkuu, mpaka pale nilipo endelea kusoma na zingine ndipo nikagundua kumbe ni kweli HUNA AKILI TIMAMU, We jamaa tafuta tiba mapema kabla hujaanza kutembea uchi mtaani. Ushauri wa bure nakupa!!
 
Nimeshaanza kutembea uchi mtaani.... Je bado nahitaji ushauri?
 
Naona Chizi Maarifa anaelekea kufanikiwa lengo lake kuharibu uzi huu wa Master Umughaka.

Kama Umughaka anavyosema huyu dawa yake ni kumpuuza, mnaomjibu ndo mnampa nguvu.
Kabisa.... Ila nimemwambia atume episode nyingine haraka nataka nione ambapo ataandika kuwa alikuwa analala na Ally Mpemba. Asikwepe hapo.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kazi kazii
 
Ndugu yangu unatafuta kiki sana ila umefeli huwa mara nyingi unatoa stori sana ila haziwi na mvuto kama za huyu dogo labda nyota yako imefifia
Hana uwezo huyo afatilie ajue kipaji chake ni nini , huenda Mungu kampanga awe mama ntilie Ila yeye kalowea humu mwisho wa sku ndo mana anawaroga wenzake huko kazini kwao , imagine Kati Kati ya taarifa za kuteua na kutengua za akina diwani ambazo ndo hot news , Ila Uzi wa dogo ambao just a story unatoboa kwenye trending
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…