Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bila shaka ndio utakuwa ndiye Ally Mpemba mwenyewe 🤔Tumekufundisha hadi kuongea bado unakosea.siyo Utindio ni mtindio wa Ubongo.
Leta story hapa nakusubiri udanganye nikuchanye .... Leta episode dj....leta maneno.
ID nyingine ya umugaka. Yaani unaonekana kabisa una mahaba.... Leo nakugonga tu kila sehemu... Lete episode hapa.Sasa si iendeleze? Maana we inaonekama ulikuwa "bottom" wa Ally Mpemba😠😠😠🤬🤬🤬
Tulia dada.... Uzi dogo analeta uzi. Kaniambia muda si mrefu.Ujanja na ujuaji mwingine ni wa kijinga. Usio na maarifa yoyote yale. Kwani kama uzi unakukera unashindwa nini kuachana nao? Iwe mnafahamiana au lah sisi hatujataka kujua hayo, tumevutiwa na story tu basi. Bando haumuwekei, kiherehere cha nini kwenye nyuzi za watu? .. much know nyingi sio ujanja wala.
We choko mi ID yangu ya mwaka 2010 imekuwa banned permanently Dicember last year ndio nikafungua hii kwaio humu sio mgeni.ID nyingine ya umugaka. Yaani unaonekana kabisa una mahaba.... Leo nakugonga tu kila sehemu... Lete episode hapa.
Jamaa anakera sana.. hivi hakuna namna awe banned huyo chizi maarifa alafu nina wasi wasi na jinsia yake mtoto gani wakiume ana mipasho..anakera sanaUjanja na ujuaji mwingine ni wa kijinga. Usio na maarifa yoyote yale. Kwani kama uzi unakukera unashindwa nini kuachana nao? Iwe mnafahamiana au lah sisi hatujataka kujua hayo, tumevutiwa na story tu basi. Bando haumuwekei, kiherehere cha nini kwenye nyuzi za watu? .. much know nyingi sio ujanja wala.
Ni wivu tu unamsumbua, kaona thread ya mwenzake inawafuatiliaji na wachangiaji wengi, roho inamuuma hadi basiKwenda huko Acha kujipa umuhimu kwenye Maisha ya watu, ungekuwa umeshiriki kivyovyote vile katika Maisha ya jamaa basi usingekuwa na chuki za wazi namna hii Kwa jamaa
Ungekuwa unajuana na mshkaji naimani tofauti zenu mngezimalizia huko huko mlikofamiana na sio nyuma ya keyboard
Unaonekana una wivu sana juu ya Mwamba,We pia ulikuwa na vistory vyako uchwara na watu tukasoma ila hukubahatika kutrend kama mshkaji na maisha ndio yapo hivo
Ata kama mnafanya kazi moja hamuwezi kuwa sawa, kila mmoja atabaki na upekee wake, kwahiyo badala ya kujenga chuki hebu angalia positivity za mshkaji ujifunze vitu ambavyo vitakusaidia katika uandishi wako nawewe
Umekazana na kumshtumu jamaa juu ya story zake kuwa ni za kutunga Tunga, sasa ili ujue kama kutunga story ni ngumu sana hebu kaendeleze story zako za kukopi na kupest huko ulipoziachia
Kwa sasa we kubali tu ata kimoyo moyo kuwa jamaa ni wamoto, sasa nawewe ingia chimbo ulete story wasomaji sie tupo tu ata ulete story ya vibata vidogo vidogo vinaogelea tutasoma tu
Nilimuuliza swali kuhusu jinsia Yake akatoka nduki 😂😂nina wasi wasi na jinsia yake mtoto gani
Watu bado wapo vitaniWeka link episode 15.
Hajafikia hatua ya kuolewa huyu ndo kwanza anatafuta bwana bado ako silidi. Hapa ndani atapata.Hapa mbona kama unaonekana wewe ndo umeolewa? Yaani jamaa ni mume wako! Au wadau mmeelewaje hiyo komenti yake hapo?
Mwanaume rijali hawezi sema " Pole saaaana" kama uliyoisema hapo.
Yani huyo ana nyota ya nyangenyangeKuna mawili ww ndio umugaka sijui, au wewe una WIVU na chuki kali sana kwa huyu msimulia stori, mana naona thread zako za nyuma uliwah kusimulia stor fulan na pia kuna thread nyingine za matukio yako,lakin naona hujapata umaarufu kama wa huyu umugaka, stor zako hazikpata attention na zaid hazikuisha ulisusa kama demu sababu wana walijua ni stori za kutunga tu,
kwaio hio inakusumbua na kukuumiza moyo kias kwamba umeanza kurusha maneno kama bi khadija kopa.
Halafu kamzimikia kinoma master wenu 😂Haijafikia hatua ya kuolewa huyu ndo kwanza anatafuta bwana bado Ako silidi. Hapa ndani atapata.
Aseme tuje tumuozeshe maan amekaa ana makalio makubwa kinouma alf brother Umughaka amemuelewa sana.Halafu kamzimikia kinoma master wenu 😂
Kumbe ulishawahi kumwona chizi maarifa hahahaaa we noma sanaAseme tuje tumuozeshe maan amekaa ana makalio makubwa kinouma alf brother Umughaka amemuelewa sana.
Yani watu wa namna hii si tunakutana nao mara nyingi tu kweny biashara wanataka kitu cha elfu 20 auziwe kwa elfu 5.Kumbe ulishawahi kumwona chizi maarifa hahahaaa we noma sana
Mkuu, naona na wewe uzalendo umekushinda. Mleta uzi ndio anasababisha yote mpaka kufikia watu kutukanana na yeye anapita tu anacheka na ku-like. Issilue sio kuleta episode mpya, issue aseme tu leo sipost kitu, basi kelele zitaishia hapo.Haya sasa tata muraa mutimbalu kucha sasa na muendelezo wakati sisi tukimtia matambara mdomoni Chizi Maarifa aache kukupigia kilele mura