Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Oa ndio uone mziki wake. Watu wengi hawajui Mana ya kuoa wao wanajua hisia ama wanaongozwa na hisia Mana muda huo unakuta Dickson amechachamaa kinyama. So uoe huko kwenu manchi Moto ndio Kuna Koo unazijua tokea babu wa babu yake.wewe unakutana na manka mjini umesoma umekuwa let say lecturer unamuona amewaka unazama. Cheki story ya Jackal Daniel yule mama anaona wivu mmewe kusomesha tu mtt wa Kaka yake. Yaani Bora usomeshe wa mchepuko haitamuuma Ila was ndugu yako inauma mno.

Unapooa unaleta mtu Kuja kumpanda kwenye Koo yako ,je atakubali kuota ama ndio mama yangu akitoka keisangora na like tope jekundu na magaga akiingia kwenye nyumba ya spanisha tiles atakuwa anaona kuwa anaichafua.


Kuna dokta mmoja anaitwa machela alioa mhaya mmoja Tena mziba wale walizopata first contact na wamisheni. Huyu jamaa bana siku mama yake alipokuja kumsalimia mke wake akamwambia kuwa huyu mama yako Ni mchafu mpeleke kwa rafiki yako alale na kweli akampeleka
Kmmmk labda sio mimi... Ukifoul mouth my mother nakuacha siku hiyo hiko
 
Back
Top Bottom