Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Matajir wengi wa jamii ya kiafrica, kihindi na arabian ni ushirikina kwelkwel. Wazungu wengi ndio wanakuwaga na pesa ambazo sio za mabukula na mazombie ndani ya nyumba,

kuna tajiri mmoja mchaga lilikuwa millionaire kinoma lakin analala kwenye shamba lake la migomba, naongea aya sio kusimuliwa mim nimeishi kama mpangaji wake na nikawa namuona, ilikuwa Rombo mashati Kilimanjaro.
 
Matajir wengi wa jamii ya kiafrica, kihindi na arabian ni ushirikina kwelkwel. Wazungu wengi ndio wanakuwaga na pesa ambazo sio za mabukula na mazombie ndani ya nyumba,

kuna tajiri mmoja mchaga lilikuwa millionaire kinoma lakin analala kwenye shamba lake la migomba, naongea aya sio kusimuliwa mim nimeishi kama mpangaji wake na nikawa namuona, ilikuwa Rombo mashati Kilimanjaro.
Wacha.. ni wachawi sana
 
Matajir wengi wa jamii ya kiafrica, kihindi na arabian ni ushirikina kwelkwel. Wazungu wengi ndio wanakuwaga na pesa ambazo sio za mabukula na mazombie ndani ya nyumba,

kuna tajiri mmoja mchaga lilikuwa millionaire kinoma lakin analala kwenye shamba lake la migomba, naongea aya sio kusimuliwa mim nimeishi kama mpangaji wake na nikawa namuona, ilikuwa Rombo mashati Kilimanjaro.
Mashati na usseri ndio zao, saivi watoto wa mkuu nao wameanza huu upuuzi
 
Back
Top Bottom