Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Yaani ww ndoo unajipunguzia sifa kwa Wana jf maana kikawaida ya mwanadamu do jambo kama lako likishatokea unasamehe au unampa mhusika yanayokuhusu inshu inaishia hapo sasa ww kujikuta mdomo mdomo tunaanza kukutafsiri vingine ...kama inshu ndogo ilitokea huko unataka kuaminisha watu wote tukuamini ww kama VVIP mkuu Utasubiri SANA
Leo siwezi kukujibu ngoja nikamilishe Jambo langu fln Kisha nitarudi kukuparaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom