wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gabby nae ni mtaalamu wa mambo hayo ya uchawi[emoji28]Wathubutuu ,,Atawatoa kafara!!
Gabby akitoka jela ataenda kubatizwa kwa maji mengi 😂😂😂🤣🤣🤣Gabby nae ni mtaalamu wa mambo hayo ya uchawi[emoji28]
Si aliwapeleka kina Umughaka na Mtatiro kwa yule bibi wakapewe ulinzi kabla ya kwenda kuiba
Kuingilia maoni yangu binafsi ni udikteta na upumbavu..[emoji144]Jitu kama hili linasifia majambazi, hii nchi ina watu wa hovyo sana.
Mpemba hataki utani kabisa na mali[emoji28][emoji28]Gabby akitoka jela ataenda kubatizwa kwa maji mengi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dawa za yule mama ziliexpire wakasahau ku update Ndiomana walikamatwa wengine walikufa on the tukio[emoji16]!
Ally Mpemba hana msalie mtume umeona alivyomtisha master lakini???
Ndo mana nkasema ngoja niishie hapo nisiendelee😂😂😂😂mkorofi wewe
Sasa wewe inakuhusu nini? Huoni kama mwenye tatizo ni wewe?Wasi wasi wangu ni kuwa akili zanu haziwatoshi. Yaani madishi yenu chenga tu
Tafazari ni lugha gani mkuu?Mwendelezo tafazari
Acha kulia lia
Mawazo ya "kijinga" lazima yapingwe kwa njia yoyote.Kuingilia maoni yangu binafsi ni udikteta na upumbavu..[emoji144]
Umenikumbusha yule jamaa wa vipepeo weusi..alipotea km upepo baada yakulewa sifa[emoji23][emoji23]hii ndo shida ya watuma simulizi wa jf anaanza vizuri af akipata audience analewa. Angalia simulizi ya kwanza the guy alikua anashusha vitu bampa tu bampa mwishoni akawa full of xqz and tha was after kuona amekubalika yani if its my wish tuache hata kumkumbusha trust me venye tunaonesha we desparately need this uyu atatutesa sana and here am refering kwa mtunzi mmija mzuriiiisaana hapa jf yani yeye ni zaidi sana ya huyu infact angeweza kufika mbali sana sasa baada ya kuona ana watu wengi akaanza pozi na xqzs kibao leo nipo safar leo kazi maalum leo nimeitwa leo naumwa leo hakuna umeme mpk watu wakaingia ganzi i bet he is still wondering. Jamani watunzi mjue hakuna Fanani bila Hadhira yani bila sisi wewe kazi yako ni bure utakaa ujsimulie mwenyewe udate tukuwahishe milembe. Yes huwezi kutuma kila siku bas toa ratiba na uifuate maana hatujakuomba ulete na hujatuomba tusome, umeshindwa kutuma sema leo situmi watu waendelee kuijenga nchi masikini wasiingie jf kukutafta sa unatujia na habari za uko mbeya inahusu nini hapa na unaona watu wanakuita af pozi zote hizi ukija umetupia kimoja umesepa aisee elewa njaa ikiuma saana inakuja inaacha acha uletewe chakula gani unaweza usile na wewe yanaelekea kukukuta soon mtu umeanza vizuri umepata neema ya kukubalika fastaa c ndo ungetumia majira kwa hekima maana hii kwako ni miaka saba ya mavuno bad enough hujui itakuja saba ya ukame atakuja mtu mwenye simulizi zake anakuoutsmart the way u outsmarted others ukawa talk of town niamini mimi utasahaulika na itakua mapema zaidi kwasababu umeanza kulewa kabla jua halijazama. All the best.
Umelazimishwa kumfuatilia story zake hivi watu wengine mkoje? Yaani mtu analeta simulizi kwa kujitolea hakuna malipo yoyote unampa afu aache kufanya mishe zake za kuingiza kipato akuzingatie kukufurahisha wewe!!Huyu jamaa sasa amekuwa na maringo. Kuleta story mpaka ajishebedue.
Jaribu nawewe kujiingilia kwenye hayo mawazo yako ya kipuuzi[emoji23]Mawazo ya "kijinga" lazima yapingwe kwa njia yoyote.
you see na yule ni mtunzi haswa unasoma mpk unatamani ujiwashe vibao kwa kuzubaa, yupo na mwingine nae si haba kwelikweli shida yao ndo hii ya kijana wetu Mura Sanchawa na tumewasahauUmenikumbusha yule jamaa wa vipepeo weusi..alipotea km upepo baada yakulewa sifa[emoji23][emoji23]
Binafsi nadhani angeweka ratiba tu au km katingwa atwambie mbona sisi ni waelewa tu?
Viingereza viingiii pumba tupu!!hii ndo shida ya watuma simulizi wa jf anaanza vizuri af akipata audience analewa. Angalia simulizi ya kwanza the guy alikua anashusha vitu bampa tu bampa mwishoni akawa full of xqz and tha was after kuona amekubalika yani if its my wish tuache hata kumkumbusha trust me venye tunaonesha we desparately need this uyu atatutesa sana and here am refering kwa mtunzi mmija mzuriiiisaana hapa jf yani yeye ni zaidi sana ya huyu infact angeweza kufika mbali sana sasa baada ya kuona ana watu wengi akaanza pozi na xqzs kibao leo nipo safar leo kazi maalum leo nimeitwa leo naumwa leo hakuna umeme mpk watu wakaingia ganzi i bet he is still wondering. Jamani watunzi mjue hakuna Fanani bila Hadhira yani bila sisi wewe kazi yako ni bure utakaa ujsimulie mwenyewe udate tukuwahishe milembe. Yes huwezi kutuma kila siku bas toa ratiba na uifuate maana hatujakuomba ulete na hujatuomba tusome, umeshindwa kutuma sema leo situmi watu waendelee kuijenga nchi masikini wasiingie jf kukutafta sa unatujia na habari za uko mbeya inahusu nini hapa na unaona watu wanakuita af pozi zote hizi ukija umetupia kimoja umesepa aisee elewa njaa ikiuma saana inakuja inaacha acha uletewe chakula gani unaweza usile na wewe yanaelekea kukukuta soon mtu umeanza vizuri umepata neema ya kukubalika fastaa c ndo ungetumia majira kwa hekima maana hii kwako ni miaka saba ya mavuno bad enough hujui itakuja saba ya ukame atakuja mtu mwenye simulizi zake anakuoutsmart the way u outsmarted others ukawa talk of town niamini mimi utasahaulika na itakua mapema zaidi kwasababu umeanza kulewa kabla jua halijazama. All the best.