Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Umeandika kwa emotions hata ukatae,yaani uliongozwa na irrational brain am sio rational one,use slow brain and sio fast thinking brain mkuu na ndio Mana tuna tofauti na wanyama tunawazidi iyo rational brain.


Kwanza nichambue brain yako Ni kwa Nini umeandika haya yote Kama ifuatavyo Mana Niko field kwenye mind za watu;
1-huna kazi zinazokubana
2-ratiba zako,mawazo yako yaani kila kitu chako unataka kila mtu awe Kama wewe so your subjectivity unataka iwe objectivity.
3-sijajua umri wako na majukumu yako unalilia story ambazo haziwezi kukuongezea chochote kwenye maisha yako hata uje kuwasimulia wajukuu faida yako.
4-unazidiwa na emotions Kama hivyo brain yako inataka upate Raha ya hadithi Ila huipati so unalilia na ndio Mana wauza Raha Wana hela Kama wanamuziki wanamichezo wauza mbususu,drugs,pombe,sigara,bangi wanapata hela Mana wanaridhisha feelings or emotions za watu.
5- Nikupe mbinu fanya chochote jisahaulishe soma hata kitabu Cha Hadithi ama waza namna gani akaunti yako isome angalau b plus huko benki hizi Hadithi hazitakuwa na Mana kwako.
6- waza namna mwanao atasome USA ama uk like oxfords University am sure you won't bothered/irritated this baby stuffs.
7-Ni kweli hamjapangiana ailete ama wewe uisome si ubonyeze Ile button ya ignore member ama kwako haionekani.
8-hamjapangiana kuisoma ama kuileta mbona Sasa Tena unampangia.
9- unataka akuambie kuwa yupo wapi na anafanya Nini WEWE Ni Nani unaweza ukamlisha hata siku moja,hujui Kuna watu hawapendi kujielezea hata kwa mabosi zao.
10- unamtishia kuwa akubakia nayo ataenda milembe kwa sayansi ipi kwani anashindwa kuwasimulia jamaa anaofanya nao kazi.


11- Do something else hutaweweseka ,ama Kama Kuna mtt unapoishi mfundishe hata simple present tense ama hesabu za milinganyo ama msimulie history ama mwambie dunia yetu una mabara mangapi.

Ujue mpaka nimeshindwa.
Usijali bana tuna socialize don't take serious. Build your mind muscles and not physical muscles please
Mental health is real haya wewe ulie bize umepata wapi time ya kunisoma na kunihakiki hivi, mimi nimesema wapi aniambie yupo wapi anafanya nn wakat nimekereka alivosema yupo mbeya...eti niwaze mwanangu asome usa nyie mbona upo nje sana ya topic mkuu wangu.

Januari ni ya wote, ada madeni kodi na ukata ni wwa wote please usifike mahali ukajiona upo peke yako hapana ni nusu ya watized tunapitia hayo wewe ondoa uchungu jipe moyo maana unaongelea b plus na hapo unajinukia mdomo kwa njaa mengine yakupite mama yangu when men talks women are to cook and breastfeed pole mtoto mzuri
 
asa apo kuna kingleza gani mkuu wangu,,,wote tupo januari usijisikie vibaya hiyo hali unayopitia ni almost nusu ya watized wote...jipe moyo dada hauko peke yako ee mama
Huna kazi ya kufanya unataka kila Mara usome Hadith! Za Umughaka, njoo Kanda ya ziwa huku nkufundushe kuvua samaki uone Kama utapata muda wa kulaumu kwa mm simulizi haijatumwa huku kenge wewe
 
Huna kazi ya kufanya unataka kila Mara usome Hadith! Za Umughaka, njoo Kanda ya ziwa huku nkufundushe kuvua samaki uone Kama utapata muda wa kulaumu kwa mm simulizi haijatumwa huku kenge wewe
sawa mkuu kenge mwenzangu lakini angalia usiloweshe smatifoni hapo katikati ya ziwa unapovua na kuperuzi jeiefu...afya ya akili is big deal..
 
Mental health is real haya wewe ulie bize umepata wapi time ya kunisoma na kunihakiki hivi, mimi nimesema wapi aniambie yupo wapi anafanya nn wakat nimekereka alivosema yupo mbeya...eti niwaze mwanangu asome usa nyie mbona upo nje sana ya topic mkuu wangu. Januari ni ya wote, ada madeni kodi na ukata ni wwa wote please usifike mahali ukajiona upo peke yako hapana ni nusu ya watized tunapitia hayo wewe ondoa uchungu jipe moyo maana unaongelea b plus na hapo unajinukia mdomo kwa njaa mengine yakupite mama yangu when men talks women are to cook and breastfeed pole mtoto mzuri
Pamoja mno mkuu.
 
Umeandika kwa emotions hata ukatae,yaani uliongozwa na irrational brain am sio rational one,use slow brain and sio fast thinking brain mkuu na ndio Mana tuna tofauti na wanyama tunawazidi iyo rational brain.


Kwanza nichambue brain yako Ni kwa Nini umeandika haya yote Kama ifuatavyo Mana Niko field kwenye mind za watu;
1-huna kazi zinazokubana
2-ratiba zako,mawazo yako yaani kila kitu chako unataka kila mtu awe Kama wewe so your subjectivity unataka iwe objectivity.
3-sijajua umri wako na majukumu yako unalilia story ambazo haziwezi kukuongezea chochote kwenye maisha yako hata uje kuwasimulia wajukuu faida yako.
4-unazidiwa na emotions Kama hivyo brain yako inataka upate Raha ya hadithi Ila huipati so unalilia na ndio Mana wauza Raha Wana hela Kama wanamuziki wanamichezo wauza mbususu,drugs,pombe,sigara,bangi wanapata hela Mana wanaridhisha feelings or emotions za watu.
5- Nikupe mbinu fanya chochote jisahaulishe soma hata kitabu Cha Hadithi ama waza namna gani akaunti yako isome angalau b plus huko benki hizi Hadithi hazitakuwa na Mana kwako.
6- waza namna mwanao atasome USA ama uk like oxfords University am sure you won't bothered/irritated this baby stuffs.
7-Ni kweli hamjapangiana ailete ama wewe uisome si ubonyeze Ile button ya ignore member ama kwako haionekani.
8-hamjapangiana kuisoma ama kuileta mbona Sasa Tena unampangia.
9- unataka akuambie kuwa yupo wapi na anafanya Nini WEWE Ni Nani unaweza ukamlisha hata siku moja,hujui Kuna watu hawapendi kujielezea hata kwa mabosi zao.
10- unamtishia kuwa akubakia nayo ataenda milembe kwa sayansi ipi kwani anashindwa kuwasimulia jamaa anaofanya nao kazi.


11- Do something else hutaweweseka ,ama Kama Kuna mtt unapoishi mfundishe hata simple present tense ama hesabu za milinganyo ama msimulie history ama mwambie dunia yetu una mabara mangapi.

Ujue mpaka nimeshindwa.
Usijali bana tuna socialize don't take serious. Build your mind muscles and not physical muscles please
Akili kubwa hii!! Mimi Ni mmoja wa wafuatiliaji wa Hadith zake , nkikuta kaweka nasoma Kama hajaweka nafanya mambo mengine siwezi mlaumu hata akileta kwa wiki Mara moja naona sawa tu
 
Akili kubwa hii!! Mimi Ni mmoja wa wafuatiliaji wa Hadith zake , nkikuta kaweka nasoma Kama hajaweka nafanya mambo mengine siwezi mlaumu hata akileta kwa wiki Mara moja naona sawa tu
Mie hata akiweka kwa mwezi Mara moja. Nimemmwambia jamaa Ila kwa vile najua how our brains are working imenibidi nimu ignore.

Behavior modifications is the serious na Ni kazi kumbadilisha mtu. Mana unakuta mtu Ni zao ama matunda yaliyopandwa tokea akiwa mdogo so wewe Kuja kumbadilisha mtu Ni sawa ung'oe mti uliokomaa ukaoteshe pengine. Ama samaaki aanze kupaa Kama ndege Ni kazi mno kuchange
 
Mie hata akiweka kwa mwezi Mara moja. Nimemmwambia jamaa Ila kwa vile najua how our brains are working imenibidi nimu ignore. Behavior modifications is the serious na Ni kazi kumbadilisha mtu. Mana unakuta mtu Ni zao ama matunda yaliyopandwa tokea akiwa mdogo so wewe Kuja kumbadilisha mtu Ni sawa ung'oe mti uliokomaa ukaoteshe pengine. Ama samaaki aanze kupaa Kama ndege Ni kazi mno kuchange
be the change u want to see...ukitaka watu wasiwe judgemental it starts by you, ukitaka watu wanyamanze kaa kimya wewe alie na shida ni yule unaemuona kwenye kioo my sister ushajua huwezi kumbadili mtu mzima y bother? the subjectivity u proclaim is in you wote hapa tumekua tunajadili simulizi wewe umenikurupikia mimi as a person u only needed to get into the object n not subject na as u are saying hiyo ni shida ya malezi.

Huwezi kuogesha mtoto ukiwa na mikono michafu osha mikono yako kwanza na hili pia huwezi elewa the way hukulielewa la kwanza ukalijia na essay
 
be the change u want to see...ukitaka watu wasiwe judgemental it starts by you, ukitaka watu wanyamanze kaa kimya wewe alie na shida ni yule unaemuona kwenye kioo my sister ushajua huwezi kumbadili mtu mzima y bother? the subjectivity u proclaim is in you wote hapa tumekua tunajadili simulizi wewe umenikurupikia mimi as a person u only needed to get into the object n not subject na as u are saying hiyo ni shida ya malezi. Huwezi kuogesha mtoto ukiwa na mikono michafu osha mikono yako kwanza na hili pia huwezi elewa the way hukulielewa la kwanza ukalijia na essay
Kichwa Cha panzi bhanaaa
 
Kichwa Cha panzi bhanaaa
we nae si utulie nyie ndo wale bora uaibike ila uwepo wako uonekane aya mama umeshida rudi jikoni upike tule sasa ndo mana huwa mnawashwa makofi mnakimbilia kushtaki eti ukatili wa kijinsia sasa hapa wanamume tunatunishiana vifua unakuja na tu chuchu twako saa kumi na mbili kujipitisha haya chukua kombe rudi jikoni haraka boma liwanza
 
Umeandika kwa emotions hata ukatae,yaani uliongozwa na irrational brain am sio rational one,use slow brain and sio fast thinking brain mkuu na ndio Mana tuna tofauti na wanyama tunawazidi iyo rational brain.


Kwanza nichambue brain yako Ni kwa Nini umeandika haya yote Kama ifuatavyo Mana Niko field kwenye mind za watu;
1-huna kazi zinazokubana
2-ratiba zako,mawazo yako yaani kila kitu chako unataka kila mtu awe Kama wewe so your subjectivity unataka iwe objectivity.
3-sijajua umri wako na majukumu yako unalilia story ambazo haziwezi kukuongezea chochote kwenye maisha yako hata uje kuwasimulia wajukuu faida yako.
4-unazidiwa na emotions Kama hivyo brain yako inataka upate Raha ya hadithi Ila huipati so unalilia na ndio Mana wauza Raha Wana hela Kama wanamuziki wanamichezo wauza mbususu,drugs,pombe,sigara,bangi wanapata hela Mana wanaridhisha feelings or emotions za watu.
5- Nikupe mbinu fanya chochote jisahaulishe soma hata kitabu Cha Hadithi ama waza namna gani akaunti yako isome angalau b plus huko benki hizi Hadithi hazitakuwa na Mana kwako.
6- waza namna mwanao atasome USA ama uk like oxfords University am sure you won't bothered/irritated this baby stuffs.
7-Ni kweli hamjapangiana ailete ama wewe uisome si ubonyeze Ile button ya ignore member ama kwako haionekani.
8-hamjapangiana kuisoma ama kuileta mbona Sasa Tena unampangia.
9- unataka akuambie kuwa yupo wapi na anafanya Nini WEWE Ni Nani unaweza ukamlisha hata siku moja,hujui Kuna watu hawapendi kujielezea hata kwa mabosi zao.
10- unamtishia kuwa akubakia nayo ataenda milembe kwa sayansi ipi kwani anashindwa kuwasimulia jamaa anaofanya nao kazi.


11- Do something else hutaweweseka ,ama Kama Kuna mtt unapoishi mfundishe hata simple present tense ama hesabu za milinganyo ama msimulie history ama mwambie dunia yetu una mabara mangapi.

Ujue mpaka nimeshindwa.
Usijali bana tuna socialize don't take serious. Build your mind muscles and not physical muscles please
Mwingine wa "hovyo" huyu.
 
hii ndo shida ya watuma simulizi wa jf anaanza vizuri af akipata audience analewa. Angalia simulizi ya kwanza the guy alikua anashusha vitu bampa tu bampa mwishoni akawa full of xqz and tha was after kuona amekubalika yani if its my wish tuache hata kumkumbusha trust me venye tunaonesha we desparately need this uyu atatutesa sana and here am refering kwa mtunzi mmija mzuriiiisaana hapa jf yani yeye ni zaidi sana ya huyu infact angeweza kufika mbali sana sasa baada ya kuona ana watu wengi akaanza pozi na xqzs kibao leo nipo safar leo kazi maalum leo nimeitwa leo naumwa leo hakuna umeme mpk watu wakaingia ganzi i bet he is still wondering. Jamani watunzi mjue hakuna Fanani bila Hadhira yani bila sisi wewe kazi yako ni bure utakaa ujsimulie mwenyewe udate tukuwahishe milembe. Yes huwezi kutuma kila siku bas toa ratiba na uifuate maana hatujakuomba ulete na hujatuomba tusome, umeshindwa kutuma sema leo situmi watu waendelee kuijenga nchi masikini wasiingie jf kukutafta sa unatujia na habari za uko mbeya inahusu nini hapa na unaona watu wanakuita af pozi zote hizi ukija umetupia kimoja umesepa aisee elewa njaa ikiuma saana inakuja inaacha acha uletewe chakula gani unaweza usile na wewe yanaelekea kukukuta soon mtu umeanza vizuri umepata neema ya kukubalika fastaa c ndo ungetumia majira kwa hekima maana hii kwako ni miaka saba ya mavuno bad enough hujui itakuja saba ya ukame atakuja mtu mwenye simulizi zake anakuoutsmart the way u outsmarted others ukawa talk of town niamini mimi utasahaulika na itakua mapema zaidi kwasababu umeanza kulewa kabla jua halijazama. All the best.
Rubbish
 
hii ndo shida ya watuma simulizi wa jf anaanza vizuri af akipata audience analewa. Angalia simulizi ya kwanza the guy alikua anashusha vitu bampa tu bampa mwishoni akawa full of xqz and tha was after kuona amekubalika yani if its my wish tuache hata kumkumbusha trust me venye tunaonesha we desparately need this uyu atatutesa sana and here am refering kwa mtunzi mmija mzuriiiisaana hapa jf yani yeye ni zaidi sana ya huyu infact angeweza kufika mbali sana sasa baada ya kuona ana watu wengi akaanza pozi na xqzs kibao leo nipo safar leo kazi maalum leo nimeitwa leo naumwa leo hakuna umeme mpk watu wakaingia ganzi i bet he is still wondering. Jamani watunzi mjue hakuna Fanani bila Hadhira yani bila sisi wewe kazi yako ni bure utakaa ujsimulie mwenyewe udate tukuwahishe milembe. Yes huwezi kutuma kila siku bas toa ratiba na uifuate maana hatujakuomba ulete na hujatuomba tusome, umeshindwa kutuma sema leo situmi watu waendelee kuijenga nchi masikini wasiingie jf kukutafta sa unatujia na habari za uko mbeya inahusu nini hapa na unaona watu wanakuita af pozi zote hizi ukija umetupia kimoja umesepa aisee elewa njaa ikiuma saana inakuja inaacha acha uletewe chakula gani unaweza usile na wewe yanaelekea kukukuta soon mtu umeanza vizuri umepata neema ya kukubalika fastaa c ndo ungetumia majira kwa hekima maana hii kwako ni miaka saba ya mavuno bad enough hujui itakuja saba ya ukame atakuja mtu mwenye simulizi zake anakuoutsmart the way u outsmarted others ukawa talk of town niamini mimi utasahaulika na itakua mapema zaidi kwasababu umeanza kulewa kabla jua halijazama. All the best.
Easy man! Yeye ni binadamu hana ratiba fixed kama ww.

We just have to understand him and appreciate what he delivers cz we don’t pay him for writing us a story and he doesn’t expect anything from us either,.

Hata kutuambia alipo au kilichomfanya ashindwe kuandika ni hekima yake tu ila he is not answerable to anyone in here, so chill relax kurya man will definitely come back with next eps till we finish the story.
 
Back
Top Bottom