Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
moghaka nipo hapa kenyamanyori nasubiria storyMkuu huwa siachii stori njiani,now nipo Mbeya kwenye ishu zangu binafsi!.
Sawa mkuu..nilidhani utayumbishwa na maneno ya watu humuMkuu huwa siachii stori njiani,now nipo Mbeya kwenye ishu zangu binafsi!.
Nilitaka kushangaa tata muraaaMimi kabisaaa! Au mwingine?n
Na ku pm.Hello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Kamanda tumtume member mmoja umsimulie aandike? By the way anaendeleaje kamanda.Mkuu huwa siachii stori njiani,now nipo Mbeya kwenye ishu zangu binafsi!.
Master anaenjoy tu vitu vya Green City akipitia koments huku anajichekea tu nhihihhihihi😁UMUGHAKA kaenda Mbeya kutafuta utajiri wa Kibegi, naona kina Unique Flower, To yeye na green city wamemweka kitako, kwamba Baraka za Mungu hutajirisha nazo hazina majuto.
Kumbe!Gerezani alisema ataenda jumapili mbatizwaji!!
Ndio kwa yale maelezo yake ya kuwa mbeya!Kumbe!
Sasa sijui atakuwa busy na niniNdio kwa yale maelezo yake ya kuwa mbeya!
Ngoja tumsubiri tuone labda katingwa!Sasa sijui atakuwa busy na nini
Au tumpuuze? Maana ameanza kujiona mtamu🙄Ngoja tumsubiri tuone labda katingwa!
Tushakua misukule yake sasa no way tuvumilie tu mkuu!!Au tumpuuze? Maana ameanza kujiona matamu🙄
Ok. Ngoja tuoneTushakua misukule yake sasa no way tuvumilie tu mkuu!!
Sitaki kuamini 🤣🤣🤣Nimependa comment inayosema tumekua misukule ya UMUGHAKA