Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
ukute dude ndo linamgonga mpemba, dooh kazi kwa masterKuligonga dude la hivyo mashine itasimama kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukute dude ndo linamgonga mpemba, dooh kazi kwa masterKuligonga dude la hivyo mashine itasimama kweli?
Hilo la Kwa Ally ni lakike na linaitwa Maya ( rejea episode za nyuma kidogo) hata master mwenyewe aliliona likiwa na umbo la kikeYaani hapo jamaa anamkabidhi Umagaka jukumu la kutuliza hamu ya lile monster la kiume. Daaaahh.... Haya mambo haya. Unajua majini ya kike huwa yanakuwa marembo. Ya kiume ndo kama hilo la Mpemba sasa linataka kukaza jicho....jamaa anaachiwa majukumu. Angekuwepo Chizi angesema yote humu.
Mwenzio alifungiwa kuchangia huu uzi sababu ya kutaka kuweka mambo hadharani....🤣Hapo kwenye kumstiri Ally Mpemba, tunataka usiache hata neno moja. Kwa sababu ni mapito haina shida hata tukijua Ally Mpemba alikufumua
Mi nilijua nimeshakosa sehem nyingi hadi nikawa naona uvivu kuutafuta uzi kumbe na yeye alikaa kimya? Aise ngoja niisome hiyo sehemAlijua kutugeuza misukule yake hapa😂😂
Kumgonga au kugongwa?Au umughaka atapewa kazi ya kumgonga msukule pindi ambapo amesafiri ?
Ndo kustiri jamaa anamaanisha?
5m kitandani zilitoka wapi ?
Nyama ziko chini, tule mtori
Mbona huyu jamaa amevaa na amechokaaaaaSema kweli niivue na unipe evidence za uhakika
Eeh eeeh eeh kumenoga ehhhhLol Ndio naona saivi best wabheja sana!!!
Wapi Lovelovie Wigelekelo Mafian cartel Restless Hustler cocastic Saint Anne mmash Santos06 Glenn mambo kumekucha hukuuuu!
Asante sana brother Santos😊😊
Hapo ndo tusubiri mwendelezo hahahhDude linamfanya au yeye analifanya ? [emoji2][emoji2][emoji1][emoji2]
Ndio unataka na ww🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Huyo Falaaah si ni jamaaa yenu....
Nimewaza kumsitiri itakuwa kufanya mapenzi na lile dubwanaNaona umughaka anaenda kumstir mtu kiraini ili aendlee kuw tajiri[emoji12][emoji12]
Kunenougaa nakwambia!! Mambo ya kusitiriana noumaaa!Eeh eeeh eeh kumenoga ehhhh
Eeh eeeh em nitag karibu na mie nione ccy maanKunenougaa nakwambia!! Mambo ya kusitiriana noumaaa!