Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
Pamoja mamy barikiwa sana!thnx kipenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja mamy barikiwa sana!thnx kipenzi
tulia hivyo hivyo shangaziUkimchalenji anaanza matusi..utadhani alitumwa atuletee hadithi,anashindwa kuheshimu jukwaa angewahadithia hao boda boda wenzake[emoji1745]
bora ingekua ng'ombe hiyo ni kidong'oi
Alaf kama ananiiga hivi[emoji41]🤏...yaani anapita mule mule[emoji23]Mkuu kama inawezekana tupatie na episode ya 21 halafu UMUGHAKA akija ataendeleza ulipoishia wewe.
Umetumwa na Ally mpemba ww sio bureKimsingi wew bado mshamba,yaani watu wote tukufuate PM,kwanini hukusema hapa hapa kama ulivyoenda mbeya ulisema hapa na watu tukakuelewa,unakuwa na kiherehere cha kuanzisha story afu mwisho wasiku ikikosea watu wakikuchalenji kidogo tuu unaanza kupwayuka...maliza story kama ulivyoianza,kama hutaki achana nayo hakuna mtu alikuomba hapa ni wewe na kiherehere chako cha kuleta story hapa
hamWasamehe mkuu.
watu hawamlipi hata mia lakini wanatukana wengine wanafosi kabsa nimeamini kuna binadamu hata umpe nini hawana moyo wa shukraniMura shida ni kwamba kuna vijamaa humu na vyenyewe vinaenda kusimulia huko sasa kakibanwa huko mwedelezo kakija humu kanakuta episode bado.. basi kanapaliwa kanaanza matusi 😀😀
HahaaaaaaaAlaf kama ananiiga hivi[emoji41]🤏...yaani anapita mule mule[emoji23]
Hamna tabu alikatwa mtu ukazaliwa wewe hayawaniUnakatwa mzee
Unavosema huwez unamaanisha huna uwezo au hutaki??Nisikudanganye siwezi kukupa link wala kuweka link kwenye comment yangu. Kikubwa nenda kwenye profile ya Bilionea Asigwa then angalia nyuzi zake alizoanzisha kisha iangalie iliyoandikwa Biblia kwa jicho lingine.
Hata mimi nasafiri upo kwenye bus gani?UMUGHAKA , umeamkaje mzee baba, mashabiki wako tumeamka poa kabisa, nasafiri hapa kutoka Tanga to DSM, time ikikuruhusu, shusha vitu.
This case is closed,Boma Liwanza
Natoa mtu kikojoleoooo weeeehhhh!!! Nintang'anywe kisa ninii dr ?? HG Ashendwwwww👽👽👽👽👽👽😁😂Pamoja mama angel leo nimechungulia kabla yako,utakuja nyang'anywa mume na house girl! 🙂
Nimeona nimeonaaa...Masta kajanjarukaaaa kinomaaaa anajua hadi kupiga mistariiii nahivi ana Gareeee mbona watakua walimjua mkurya 😂!Ohooo mkuu unaupiga mwingi sana shukran
Unaona lakini Umughaka anavyomuimbisha mtoto Rehema ale tunda kimasihara [emoji28]
Khakhakhaaaa!Kwani kuna vita humu??
Mazingira mkuu yameamua hivyo kwasababu chakula anaenda kununua sokoni, ila kama angekuwa anafata chakula Serena, C Cliff hoteli sawa4Mtu umekabidhiwa audi mpya halafu unakwenda kujitongozesha kwa muuza juice kweli likurya ni likurya tu hata lijiite umughaka(lizee).Hili mwisho wake naliona likienda kudhulumiwa maharage lililoenda kulima huko kwa wanakyusa
Nishakata tamaamasai dada shosti njooo