Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kimsingi wew bado mshamba,yaani watu wote tukufuate PM,kwanini hukusema hapa hapa kama ulivyoenda mbeya ulisema hapa na watu tukakuelewa,unakuwa na kiherehere cha kuanzisha story afu mwisho wasiku ikikosea watu wakikuchalenji kidogo tuu unaanza kupwayuka...maliza story kama ulivyoianza,kama hutaki achana nayo hakuna mtu alikuomba hapa ni wewe na kiherehere chako cha kuleta story hapa
Umetumwa na Ally mpemba ww sio bure
 
Wasamehe mkuu.
ham
Mura shida ni kwamba kuna vijamaa humu na vyenyewe vinaenda kusimulia huko sasa kakibanwa huko mwedelezo kakija humu kanakuta episode bado.. basi kanapaliwa kanaanza matusi 😀😀
watu hawamlipi hata mia lakini wanatukana wengine wanafosi kabsa nimeamini kuna binadamu hata umpe nini hawana moyo wa shukrani
 
Mtu umekabidhiwa audi mpya halafu unakwenda kujitongozesha kwa muuza juice kweli likurya ni likurya tu hata lijiite umughaka(lizee).Hili mwisho wake naliona likienda kudhulumiwa maharage lililoenda kulima huko kwa wanakyusa
Mazingira mkuu yameamua hivyo kwasababu chakula anaenda kununua sokoni, ila kama angekuwa anafata chakula Serena, C Cliff hoteli sawa4
 
Back
Top Bottom