Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
we mjinga niniHapana bwana, mnaboa nyie wapuuzi wa MMU. Huoni kama mnachafua uzi wa watu? Nendeni kule mkachati mpendavyo mnatuboa wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we mjinga niniHapana bwana, mnaboa nyie wapuuzi wa MMU. Huoni kama mnachafua uzi wa watu? Nendeni kule mkachati mpendavyo mnatuboa wengine.
Woyooo acha udalali wakonmewatafutia mchumba
😂😂😂😂Mim sio dalali hao wote ni dada zangu ndugu wa damu.Woyooo acha udalali wako
Kwa nini sasa umewatafutia mchumba?😂😂😂😂Mim sio dalali hao wote ni dada zangu ndugu wa damu.
Pita kimya kimya wanaume hawana maneno mengi bn weeeh.Mnaboa nyie nendeni mkachati huu upuuzi wenu kule MMU. Hivi hamuoni aibu wala kujishtukia kama mnaboa wengine? Hakuna umuhimu wa sisi kutujumlisha wala kutushirikisha hizi chats zenu za ngono na midhaa.
Sawa mkuuMnaboa nyie nendeni mkachati huu upuuzi wenu kule MMU. Hivi hamuoni aibu wala kujishtukia kama mnaboa wengine? Hakuna umuhimu wa sisi kutujumlisha wala kutushirikisha hizi chats zenu za ngono na midhaa.
🤣🤣🤣🤣🤗Puta kimya kimya wanaume hawana maneno mengi bn weeeh.
Wawake hawana akili usiamini sana wanavyojishaua humuNawaza hapa jinsi mademu watakavyo kataa zawadi za chup.. na bra kwenye Valentine hii inayokuja hasa madem waliosoma uzi huu,,
Mchepuko wangu nao kama umepita kwenye uzi huu basi tafran tu
🤣🤣🤣🤣Uliyemchenjia hata hausikiHapana bwana, mnaboa nyie wapuuzi wa MMU. Huoni kama mnachafua uzi wa watu? Nendeni kule mkachati mpendavyo mnatuboa wengine.
Mmoja wao ni huyu Bantu Lady na mashoga zakeChating za upuuzi zinaendelea humu. Nyie member wa MMU nendeni mkachati huo upuuzi wenu huko MMU. Unakuta uzi unatembea unajua jamaa kapandisha uzi inakutana na chats za kipuuzi. Mnaboa nyie na mnaharibu uzi wa watu. Hayo matano yenu ya ngono na zinaa nendeni kule MMU Wapuuzi nyie. Mnatukwaza nyie sio wote tuna interest na huo upuuzi wenu. Jitahidini muwe mna hekima.
Aaaa,huyo umemwonea bhana.Ni Mimi ndo maana nikamjibu sawa.means nimemwelewaMmoja wao ni huyu Bantu Lady na mashoga zake
Utulie na wewe, ama hujapata mwanamme wa kukufanya uwe busy na familiaAaaa,huyo umemwonea bhana.Ni Mimi ndo maana nikamjibu sawa.means nimemwelewa
Ndiyo mkuuUtulie na wewe, ama hujapata mwanamme wa kukufanya uwe busy na familia
Mda mwengine hulitumii. Au uko mkoani🤣🤣🤣🤣dah huna gari mkuu?
Labda ndo utaratibu waliojiwekeaJiji la dar sifa yake kuu ni wizi, tukiwa watoto, tuliambiwa ukienda dar uwe makini utaibiwa. leo tukiwa wazima na familia bado sifa ni ileile, kwanini lakini dar es salaam??
Wee mzee tafadhali, mimi umeniona wapi nachat nje ya simulizi ya Umughaka? Una hamu wewe mzee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mmoja wao ni huyu Bantu Lady na mashoga zake
Yupo sahihi kabisa mkuuUkumbusho kwa wanaume wenzangu
Msihadaike na profile picture za wanawake wa humu jf, wengi wao ni wale wanawake wabaya mtaani wasiokuwa na soko ndio wanapata ahueni kuchat humu mitandaoni.
Huu ujumbe kaandika member fulani humu, eti ni kweli?