Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

sehemu ya 25:
Niliichukua ile laki tano aliyonipatia bro Ally muarabu wa Pemba na kuipachika mfukoni mwangu kisha nikatoka mdogo mdogo huku kimoyo moyo nikiomba mambo yaende fresh ili siku moja niruhusiwe tena kuichakata ile papuchi ya mrembo Maya

Kiukweli licha ya maya kuwa katika ile hali ya umsukule lakini alikuwa na papuchi tamu sana sijui kwa sababu ya kufanya ngono mara nne tu kwa mwezi au labda kwa sababu ya chakula chake ni kabichi tu au pengine labda sababu ya kushindia kule kwenye shimo chini ya kabati

Kiukweli hakuna kitu ninachokuwa nikikimiss toka niyakoroge kama papuchi ya Maya,yaani mpaka kuna wakati natamani mimi ndio niwe Ally muarabu ili niwe najichakatia ile papuchi ya Maya

Basi bwana nikatembea mdogo mdogo ila ghafla simu yangu ikaita nilipoitazama nikakuta kumbe ni mrembo wangu Rehema alikuwa akinipigia

Nikapokea huku nikiwa najua kabisa shida yake ilikuwa ni nini na kweli baada tu ya kusalimiana alianza kuniambia habari za kumtumia pesa kidogo eti yuko BTP hivyo anahitaji pesa ya matumizi

Kwa sababu pesa nilikuwa nayo nikaenda kwenye kibanda cha m-pesa na kumpatia namba yule wakala nikamwambia atume laki 4,basi bwana wakala akawa ametuma ile pesa kwa Rehema na muda huo huo nikapokea simu toka kwa Rehema akinishukuru sana kwa kumpenda na kumjali

Nilipomaliza kuzungumza na Rehema nikakuta wakala akiwa kategesha mkono nimlipe pesa yake,nikaingiza mkono mfukoni ili nimchane huyu wakala njaa pesa yake kisha niende ghetto. du nilipozitoa zile pesa mfukoni aisee nusu nichanganyikiwe na nilianza kuiona milango ya gereza ikiwa wazi kwa ajili yangu,tazama zile pesa zote zilikuwa zimegeuka kuwa karatasi nyeupe pee

Wakati nikiwa katika hiyo hali ya kuchanganyikiwa ikaingia sms toka kwa brother wangu wa kiarabu(Ally) iliyosomeka"master umeyakoroga kwa mara ya pili sasa,yaani unafikiri Maya ni fara kama walivyo wanawake wa huko ukuryani kwenu,yaani umeichukua hii laki tano yake na unataka uitume kwa Malaya wako Rehema,sasa leo huyo wakala lazima akutafune makalio maana najua mpaka hapo ulipo huna pesa yoyote mfukoni"

Itaendelea
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]we jamaa mjinga sana
 
Hapa utakuwa umechanganya , ule ufaulu wa kuingia f4 na f6...
Kuna baadhi ya shule zilikuwa na specifications za masomo kuanzia darasa la tatu... Na unakuta mtu anajiita kabisa yeye ni Pcb au pcm or whatever... Ilihali bado yupo O'level..[emoji848]
mkuu uko siriasi au unatania?darasa la 3 pcm au pcb?kivipi?ebu fafanua kidogo.labda la 3 la mkoloni..
 
Mkuu this is news to me! Nimesoma pcm advance ila sijawahi kujua kama Kuna specification za combination kuanzia o level, nachojua Kuna arts na science tu kipindi hicho si tunasoma!!!

I stand to be corrected hapa tupo kujifunza
Soma vizuri maelezo...
"Nimesema ni ile hali ya mwanafunzi kujiita/kujichagulia... Kusoma masomo ya science au arts haikunyimi nafasi ya wewe mwenyewe binafsi kujiita PCM/PCB /HGL ili hali bado upo O'level, na unaweza ukaja ukascore kwenye hayo hayo masomo uliyochagua!
Mi binafsi nimesoma PCB Advance, though nilipokuwa O'level sikuchagua masomo (I mean nilisoma yote) ...
Hii ni kwasababu shule yetu kidogo ilikuwa iko vizuri kwenye sehemu zote (TABORA BOYS(, that's why...
Ila Kuna baadhi ya shule huwa zinastruggle kwenye suala Zima la practicals ndo maana unakuta watu wanaanza kujitenga mapema!
 
Soma vizuri maelezo...
"Nimesema ni ile hali ya mwanafunzi kujiita/kujichagulia... Kusoma masomo ya science au arts haikunyimi nafasi ya wewe mwenyewe binafsi kujiita PCM/PCB /HGL ili hali bado upo O'level, na unaweza ukaja ukascore kwenye hayo hayo masomo uliyochagua!
Mi binafsi nimesoma PCB Advance, though nilipokuwa O'level sikuchagua masomo (I mean nilisoma yote) ...
Hii ni kwasababu shule yetu kidogo ilikuwa iko vizuri kwenye sehemu zote (TABORA BOYS(, that's why...
Ila Kuna baadhi ya shule huwa zinastruggle kwenye suala Zima la practicals ndo maana unakuta watu wanaanza kujitenga mapema!
Kama mimi nilipokuwa o level nilkuwaga na likombi limoja babukubwa nilikuwa naliita PCMBG hapo niliongeza masomo mawili(english na kiswahili) yakawa jumla saba ila academic akaniambia lazima niwe na masomo kuanzia nane ikabidi niongeze CIVICS
 
Nukuu


" Utajiri lazima uulinde Kwa nguvu na wivu mkubwa"""


Kuna watu wanajisahau hapa Dunian kiasi Kwamba wanaona Wana life insurance ( wanadhani watabaki milele)


Mistake

UMUGHAKA kasomesha manzi .......kavunja kiapo chetu tulichokubaliana "DEMU HASOMESHWI"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah ndugu yetu kapitia mambo makubwa asee ila Hilo la Kuuza kiwanja pamoja na Jumba lako ili ukasomeshe asee hapo Mzee wetu umughaka Ulivunja miiko 🤣🤣🤣
 
Kabisaaaa nilipitia mwenyewe ndo mana mughaka kuna vitu anaandika vipo kabisa na watu wanafanya.
Ila sisi wa kuingia huko na tamaa tamaa na pesa za haraka utacheua.
Huyo ustaadhi ni tajiri tu hapo town ,wateja wake ni hao kina ally mpemba na the like na ni watu wa safari safari sana ila wana hela chafu.
Ustaadh senti yangu alikua hachukui zaidi ya kutoa sadaka lipikwe pilau na soda pale kwake watoto madrasa waje wale baada ya kupiga sala ndefu.
Boss tuelezee kwa undani zaidi tupate kujifunza ya upande mwingine. Maana watu wamekuwa wakihadaa wenye pesa pasipo kujua chimbuko la pesa nyuma.

Je mwisho wa siku nini huwakumba wenye hela za kishirikina?
 
sehemu ya 25:
Niliichukua ile laki tano aliyonipatia bro Ally muarabu wa Pemba na kuipachika mfukoni mwangu kisha nikatoka mdogo mdogo huku kimoyo moyo nikiomba mambo yaende fresh ili siku moja niruhusiwe tena kuichakata ile papuchi ya mrembo Maya

Kiukweli licha ya maya kuwa katika ile hali ya umsukule lakini alikuwa na papuchi tamu sana sijui kwa sababu ya kufanya ngono mara nne tu kwa mwezi au labda kwa sababu ya chakula chake ni kabichi tu au pengine labda sababu ya kushindia kule kwenye shimo chini ya kabati

Kiukweli hakuna kitu ninachokuwa nikikimiss toka niyakoroge kama papuchi ya Maya,yaani mpaka kuna wakati natamani mimi ndio niwe Ally muarabu ili niwe najichakatia ile papuchi ya Maya

Basi bwana nikatembea mdogo mdogo ila ghafla simu yangu ikaita nilipoitazama nikakuta kumbe ni mrembo wangu Rehema alikuwa akinipigia

Nikapokea huku nikiwa najua kabisa shida yake ilikuwa ni nini na kweli baada tu ya kusalimiana alianza kuniambia habari za kumtumia pesa kidogo eti yuko BTP hivyo anahitaji pesa ya matumizi

Kwa sababu pesa nilikuwa nayo nikaenda kwenye kibanda cha m-pesa na kumpatia namba yule wakala nikamwambia atume laki 4,basi bwana wakala akawa ametuma ile pesa kwa Rehema na muda huo huo nikapokea simu toka kwa Rehema akinishukuru sana kwa kumpenda na kumjali

Nilipomaliza kuzungumza na Rehema nikakuta wakala akiwa kategesha mkono nimlipe pesa yake,nikaingiza mkono mfukoni ili nimchane huyu wakala njaa pesa yake kisha niende ghetto. du nilipozitoa zile pesa mfukoni aisee nusu nichanganyikiwe na nilianza kuiona milango ya gereza ikiwa wazi kwa ajili yangu,tazama zile pesa zote zilikuwa zimegeuka kuwa karatasi nyeupe pee

Wakati nikiwa katika hiyo hali ya kuchanganyikiwa ikaingia sms toka kwa brother wangu wa kiarabu(Ally) iliyosomeka"master umeyakoroga kwa mara ya pili sasa,yaani unafikiri Maya ni fara kama walivyo wanawake wa huko ukuryani kwenu,yaani umeichukua hii laki tano yake na unataka uitume kwa Malaya wako Rehema,sasa leo huyo wakala lazima akutafune makalio maana najua mpaka hapo ulipo huna pesa yoyote mfukoni"

Itaendelea
Huko Tabora Kuna Jamaa ameliwa kiboga hadharani Sasa naisi na wewe ndio unataka, maana una nyege sana kuingilia Uzi wa Wanaume.
 
sehemu ya 25:
Niliichukua ile laki tano aliyonipatia bro Ally muarabu wa Pemba na kuipachika mfukoni mwangu kisha nikatoka mdogo mdogo huku kimoyo moyo nikiomba mambo yaende fresh ili siku moja niruhusiwe tena kuichakata ile papuchi ya mrembo Maya

Kiukweli licha ya maya kuwa katika ile hali ya umsukule lakini alikuwa na papuchi tamu sana sijui kwa sababu ya kufanya ngono mara nne tu kwa mwezi au labda kwa sababu ya chakula chake ni kabichi tu au pengine labda sababu ya kushindia kule kwenye shimo chini ya kabati

Kiukweli hakuna kitu ninachokuwa nikikimiss toka niyakoroge kama papuchi ya Maya,yaani mpaka kuna wakati natamani mimi ndio niwe Ally muarabu ili niwe najichakatia ile papuchi ya Maya

Basi bwana nikatembea mdogo mdogo ila ghafla simu yangu ikaita nilipoitazama nikakuta kumbe ni mrembo wangu Rehema alikuwa akinipigia

Nikapokea huku nikiwa najua kabisa shida yake ilikuwa ni nini na kweli baada tu ya kusalimiana alianza kuniambia habari za kumtumia pesa kidogo eti yuko BTP hivyo anahitaji pesa ya matumizi

Kwa sababu pesa nilikuwa nayo nikaenda kwenye kibanda cha m-pesa na kumpatia namba yule wakala nikamwambia atume laki 4,basi bwana wakala akawa ametuma ile pesa kwa Rehema na muda huo huo nikapokea simu toka kwa Rehema akinishukuru sana kwa kumpenda na kumjali

Nilipomaliza kuzungumza na Rehema nikakuta wakala akiwa kategesha mkono nimlipe pesa yake,nikaingiza mkono mfukoni ili nimchane huyu wakala njaa pesa yake kisha niende ghetto. du nilipozitoa zile pesa mfukoni aisee nusu nichanganyikiwe na nilianza kuiona milango ya gereza ikiwa wazi kwa ajili yangu,tazama zile pesa zote zilikuwa zimegeuka kuwa karatasi nyeupe pee

Wakati nikiwa katika hiyo hali ya kuchanganyikiwa ikaingia sms toka kwa brother wangu wa kiarabu(Ally) iliyosomeka"master umeyakoroga kwa mara ya pili sasa,yaani unafikiri Maya ni fara kama walivyo wanawake wa huko ukuryani kwenu,yaani umeichukua hii laki tano yake na unataka uitume kwa Malaya wako Rehema,sasa leo huyo wakala lazima akutafune makalio maana najua mpaka hapo ulipo huna pesa yoyote mfukoni"

Itaendelea
Duuh, mwamba Unaboa kinoma
 
Jamani kuandika story na kuihariri vizuri na kukumbuka matukio yote kwa ufasaha sio mchezo mchezo aisee. Mkuu UMUGHAKA much appreciation aiseee you Rock

Nimeliona hilo mimi wakati najaribu kufanya recap ya matukio yaliyonipata kipindi kile nakua kua nikiwa na Binti mrembo sana aliyeitwa Monica.

Duuh nimeona ugumu wake pakubwa sana. Matukio sio ya muda sana kiasi cha miaka sita hivi iliypita lakini issue kubwa ipo kwenye kukumbuka matukio vyema.

Mimi most of the Time nimeongeza na chumvi na ndimu kidogo. Maana unakua unakumbuka location tu ila conversation kukumbuka Ngumu labda zile Main main sana.

Ndomana nimekuja kutoa kongele nyingi sana kwa mkuu UMUGHAKA kwa moyo wake wa kujitoa japo kazi sio kitoto wakuu

Gari alisukumwi ukiwa ndani, toka ujionee mwenyewe
 
Back
Top Bottom