pambano Joseph
Member
- Apr 28, 2024
- 32
- 21
Nakusapot mkuu kwa uandishi umughaka nime mkubali me pia ni mgen lakn baada ya kusoma story zake nime zielewa sana🤝🤝🤝🤝Pamoja sana mkuu, hii stori ni ya pili kutoka kwako kusoma nimekubali balaa toka ile ya kwanza kwa baba mdogo headmaster!! Natafuta zile zingine niendelee kusoma...umetisha bado unaweza timiza ndoto, una kipaji cha uandishi hivyo una mtaji