Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ukiona maisha yako hayaeleweki eleweki, kupata milo miwili au mitatu ni shida, juwa una mapungufu katika hivi vitu vitatu:-
- Uaminifu
- Kujituma
- Unaona aibu
Wapo watu wengi wana mitaji midogo midogo na mikubwa, ila wanakosa watu wa kusimamia shughuli zao, kwa sababu vijana wengi wana ona aibu kwa kubagua kazi, hawana uaminifu, na wakati mwingine hawako tayari kujituma.
Kwa mazingira haya; vijana tuamke.
Kwa mazingira haya; vijana tuamke.