Utajisikiaje ukipata ujumbe huu kutoka kwa mkeo?

Mko form ngapi wewe na mkeo?
Mkuu Nitake Radhi mm Ni wakuniita nipo form ngap?

Hii nimesoma sehemu kwenye group la what's up....

Nikajikuta nimekua interested na hayo maneno ya huyo mdada nikajikuta nimeyatafakari......

Nikaonelea Niikopi na kuiweka hapa jukwaan kwa ajili ya kujadili....
 

Mke wangu aandike uandishi wa kitoto huo? Anajua kabisa hata hiyo meseji sitaijibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…