Mkeo amesafiri ame enda kula Sikukuu nyumbani....
Anakutumia UJUMBE Kama huu......
Jana nlshndwa kukuwish heri ya mwak mpy nlkua nangoja folen iishe.......
Heri ya mwaka mpya mume wangu kpnz najivnia kua na mume km wewe, mchapakaz, mwenye upendo wa kwel, mvumilivu, smart man, mwelewa, usiejua kunikatisha tamaa, umekua msaada xn kwangu, my king,
LOVE U XN MUME WANGU KIPENZI.