Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
heheheh!umeona eeh!Hahahaha dah unakuwa kama mzee Khalifa au sio hahahaha kula wale jamaa zangu wenye masholi wao wideloaded anadiliki kumtanguliza mbele njiani yeye yupo nyuma anaangalia watu wanao mmendea na kuzungusha shingo kama feni wanapo pishana hahahaha dah si n'chezo.
kwani mkuu TOM alijuaje kwamba dem wake watu wamedata na ''kile kijungu''?si mpaka wajanja walipoenda kumkandamiza dem wake kwenye gesti ya jirani na goli lake kwa mbwilo?😀😀😀