Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hivi ni kwanini? Yan nikikumbuka kisa flani nacheka kwa masikitiko 🤣🤣Ni rahisi ngania kupenya kwenye tundu la sindano kuliko kuijua intention ya mwanaume
Mnyime papuchi miezi sita utesti zaliHabari za ijumapili ?
Naombeni ushauri je utajuaje huyu mwanaume sio mapepe ni kakupenda kimaukweli??
Akikupa hela kataa, mwambie tunza beibi, usiombe hela ya kusuka,we jisukie twende kilioni kwa mama Amina jirani yako hapo, na Mheshimu muite baba.[emoji180][emoji16]Habari za ijumapili ?
Naombeni ushauri je utajuaje huyu mwanaume sio mapepe ni kakupenda kimaukweli??
Mbona Mie nakupenda muda wote huu na wala hujajua...mpaka umekuja kuomba msaada huku, kweliii 😞😞.Habari za ijumapili ?
Naombeni ushauri je utajuaje huyu mwanaume sio mapepe ni kakupenda kimaukweli??
AtaendaMnyime papuchi miezi sita utesti zali
🤣🤣🤣 nakuelewa sana shooHivi ni kwanini? Yan nikikumbuka kisa flani nacheka kwa masikitiko 🤣🤣
Wanaume nahisi Mungu aliwaumba Juma3.
Fafanua
Sawa kabsaaa1. Ukiona anaanza kukutambulisha kwa watu wake wa karibu kama rafiki zake, ndugu hata mzazi.
2. Ukienda kwake anakupa uhuru, unaweza kwenda kwake muda wowote na asikuulize kwanini haujamjulisha
3. Haombi papuchi hata akikupa hela. Sehemu za kukutana zikiwa ni kwake au kwako
4. Anakuelezea mipango yake hasa ya kiuchumi au hata mtu akimuuzi atakuambia
5. Akiwa anazungumzia masuala ya ndoa (kuoana). Muishi pamojq mjenge familia.
Ukiona kila mnapokutana anazungumzia sexy, ujue wewe ni wa mazoezi
Huwa tunatafuta mwanamke wa mazoezi na huyu huwa ni yoyote wa kupunguzia nyegezi.
Naomba sredi ifungwe, umemaliza mjadala....atakupa pesa na hakuombi papuchi ovyo ovyo
Kuna ukweli hapa.mwanaume akikupenda kweli kweli HUA NA WIVU SANA juu yako, hii ndo dalili kubwa alonambia wife kua alifunzwa.