Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,346
hakuna kitu .... ila kwangu mimi mume wangu kumega nje sio issue kwa kweli....
Kumbe issue nini?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna kitu .... ila kwangu mimi mume wangu kumega nje sio issue kwa kweli....
kama kuna mwanaume hajawai kusaliti aje kulike hapa......
asinipende? aninyanyase na watoto.aache kuniheshimu na kunithamini.... na malovee yote aache kuprovideKumbe issue nini?...
...u see?? hili ndo nnalokwambia!! usitulaumu wanaume wote kwa makosa ya mumeo dadaangu...!! wengine wake zetu wanafurahia ndoa zao...hakuna kitu .... ila kwangu mimi mume wangu kumega nje sio issue kwa kweli....
anamegwa kama kawaida...
usimchunguze sana bata banaa...
wewe enjoy your part
hakuna mwanaume mwaminifu...
wanaume wote ni sawa tofauti majina tu my dia....
mama nipo kwenye ndoa mwaka wa saba(7) sasa!. Sijawahi hata kuwazia kumsaliti mke wangu....achilia mbali hata kumshika mkono mwanamke mwingine kwa hisia za kimahaba... zaidi ya mke wangu..na hapa natumia jina langu halisi "juvenary mbungi"
mama nipo kwenye ndoa mwaka wa saba(7) sasa. Sijawahi hata kuwazia kumsaliti mke wangu..sahau japo kumshika **** mwanamke mwingi zaidi ya mke wangu..na hapa natumia jina langu halisi "juvenary mbungi"
kama kuna mwanaume hajawai kusaliti aje kulike hapa......
mama nipo kwenye ndoa mwaka wa saba(7) sasa!. Sijawahi hata kuwazia kumsaliti mke wangu....achilia mbali hata kumshika mkono mwanamke mwingine kwa hisia za kimahaba... zaidi ya mke wangu..na hapa natumia jina langu halisi "juvenary mbungi"