Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu wa Maana sanaaMtafute George halafu unganisha na Bush utakuja kujua upo maeneo gani na jina la sehemu hiyo.
Lakini mimi nazungumzia vijijini sasa huko ferry ndio shambani mkuu?Si lazima Kwenda shambani, mfano dar wanaamka mapema kuwahi soko la samaki,na ni kawaida kupanda na ndoo za samaki kwenye usafiri wa uma.
Lakini si kwa kasi kama huku mbwindeNamba 9 hata mjini
na haya hujui maana ya ID yako ni nini?Sijasoma mzee nimeelewa tu maneno hii ndiyo na ya kukupatia
Kwa vile kiswahili ni lugha ya kikabila kwa Dar es salaam na mengi kati ya uliyoorodhesha yanapaitika hapo, bas sehemu kubwa ya Dar es Salaam ni Bush;1.Watu wengi wanajishughulisha na kilimo wanaamka saa 10 alfajiri kwenda mashambani.Pia ng'ombe zinatumika kulima
2.Ni kawaida kukutana na wazee mababu na mabibi
3.Watu wengi wanaongea lugha za makabila
4.Wanawake/wamama wengi wanavaa khanga
5.Ukipanda daladala kwenda Town mfano ahsubuhi unapanda na watu wanaopakia matenga ya mazao wanayotoka kuyanunua ili wakayauze huko waendako
6.Kujaa kwa nyumba za tope
7. Wenyeviti wa mitaa,vitongoji/ vijiji wanaogopeka kana kwamba ndio Marais
8.Kukitokea Msiba wanatangaza na vipaza sauti
9.Wasichana wengi wadogo kuwa na watoto pia wanawake wengi kubeba watoto migongoni
10.Watoto wengi kutomaliza la saba au wakimaliza hawaendelei.
11.Vikosi vya ng'ombe vinapita kwa wingi vikipelekwa machungani hasa ile ming'ombe yenye nundu
Nitaongezea mengine kadri nitakavyokuwa nayasoma mazingira ya huku bushi nawe waweza kuongezea yako unayoyafahamu kuhusu mbwinde.
Umezungumzia watu kuamka alfajiri kiongozi!!!Lakini mimi nazungumzia vijijini sasa huko ferry ndio shambani mkuu?
Nimetembea hii bongo yapata zaidi ya mikoa 20, bado Mara, Tanga, Manyara na Katavi. Unafahamu kuwa mpaka huko Daslam kwenu Kuna vijiji? Angalia Hapa chini:Umefika mikoa mingapi ?
Umesahau ukiona pia matela ya punda na ng'ombe,1.Watu wengi wanajishughulisha na kilimo wanaamka saa 10 alfajiri kwenda mashambani.Pia ng'ombe zinatumika kulima
2.Ni kawaida kukutana na wazee mababu na mabibi
3.Watu wengi wanaongea lugha za makabila
4.Wanawake/wamama wengi wanavaa khanga
5.Ukipanda daladala kwenda Town mfano ahsubuhi unapanda na watu wanaopakia matenga ya mazao wanayotoka kuyanunua ili wakayauze huko waendako
6.Kujaa kwa nyumba za tope
7. Wenyeviti wa mitaa,vitongoji/ vijiji wanaogopeka kana kwamba ndio Marais
8.Kukitokea Msiba wanatangaza na vipaza sauti
9.Wasichana wengi wadogo kuwa na watoto pia wanawake wengi kubeba watoto migongoni
10.Watoto wengi kutomaliza la saba au wakimaliza hawaendelei.
11.Vikosi vya ng'ombe vinapita kwa wingi vikipelekwa machungani hasa ile ming'ombe yenye nundu
Nitaongezea mengine kadri nitakavyokuwa nayasoma mazingira ya huku bushi nawe waweza kuongezea yako unayoyafahamu kuhusu mbwinde.
YupUmesahau ukiona pia matela ya punda na ng'ombe,
Kukutana na ma pawatila
Hamna mkuu vijiji vyovyote tz hii vinafit kwenye listMaelezo yote mtoa mada anaisema kanda ya ziwa bila kupepesa macho na ni kweli 100%
Mbona huku mpaka mi mama na mibaba mizima inatoage shikamoo-Kanisani na misikitini baadhi ya watu wanaenda na jezi za mpira
-Mzazi akiwa na mtoto ni mwalimu wa shule ya msing au mtendaji atajitamba kijiji kizima, Maana mwalimu kijiji ana heshimika Mno.
- Ukiwa mgeni ukipita mtaani kila Mtu anakutolea mi macho
-kijana au binti mlie pishana nae miaka 2 anakusalimia shikamoo.
OK mfanano haukosekani ila wa huku mbwinde wanaamka kuanzia saa 10 alfajiri kwenda mashambaniUmezungumzia watu kuamka alfajiri kiongozi!!!