Utajuaje mke au mpenzi wako amefika kileleni?

Utajuaje mke au mpenzi wako amefika kileleni?

Hivi kuna mtu asiyeyajua haya mpaka leo? Labda wanaobarehe hivi karibuni. Kwa utandawazi huu all things are open now
The matter of fact is if you can't satisfy your wuman somebody will.....
Elite kasema kweli kabisa. Wanaume wenye uzoefu wanaelewa alichosema ni sahihi kabisa. Na kama umewahi kumpata demu akakupa ile 'katerero' original utajua hiyo squirting anayozungumzia ikoje
 
Jamani naomba kuuliza Mwanamke anapofika kileleni (mshindo) ni dalili zipi anaonyesha au wanatofautiana?
nisaidieni jaman kwa hilo.

Asanteni
 
mwanamke yeyote akifika kileleni anakuwa hana tena hamu ya tendo la ndoa zaidi zaidi ukiendelea kumgusa au kuendeleza mgegedo anakuwa hasisimuki na hupata maumivu hivyo muda mwingine wanaume inabidi tuwe waelewa unapoona mwanamke hafurahii tendo hujue hana hamu tena kwakuwa hamu yake ilishamalizwa
 
mwanamke yeyote akifika kileleni anakuwa hana tena hamu ya tendo la ndoa zaidi zaidi ukiendelea kumgusa au kuendeleza mgegedo anakuwa hasisimuki na hupata maumivu hivyo muda mwingine wanaume inabidi tuwe waelewa unapoona mwanamke hafurahii tendo hujue hana hamu tena kwakuwa hamu yake ilishamalizwa
nimekupata
 
mwanamke yeyote akifika kileleni anakuwa hana tena hamu ya tendo la ndoa zaidi zaidi ukiendelea kumgusa au kuendeleza mgegedo anakuwa hasisimuki na hupata maumivu hivyo muda mwingine wanaume inabidi tuwe waelewa unapoona mwanamke hafurahii tendo hujue hana hamu tena kwakuwa hamu yake ilishamalizwa
Sio kweli mkuu, wanatofautiana sana, inabidi umjue huyo mwanamke wako jinsi alivyo.
 
Back
Top Bottom