Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.Ukiingia kwenye shimo gari inagota(they no longer absorb shock)Wajuvi tafadhali.
Nikipimo kipi utatumia kujua kwamba shockups zako zinahitaji kuwa replaced?
WhatNgingi ngiii badala ya kunesa au...
Sikiliza gari lako linavotembea mkuu,sio kukanyaga tu mafuta lazma usikilize milio unapoendesha ile mineso itakua mikali sana yaani inazidiUnajuaje kama zinagota mwisho mkuu
Ukitaka kujua uimara wa shock absorber, tafuta kilima kidodo kw barabara ya vumbi - rough road, kw gear namba tatu na mwendo wa wastani utapata gari lina vuta upande (sideways) kama vile lina bounce/nesa kusonga kw kando!Wajuvi tafadhali.
Nikipimo kipi utatumia kujua kwamba shockups zako zinahitaji kuwa replaced?
Kingine rahisi piga jeki kama vile unataka kutoa tairi,utaona gari inanyanyuka sana bila tairi kuachia sakafu then baadaye ndio utaona tairi linapanda kitu ambacho si kawaida kama shockups ni nzima,pia ukiangalia utaona kuna kibomba cha rangi ya metal kimo ndani ya shock absober kinaonekana almost three quarter,hapo ujuwe zimeshachoka...Wajuvi tafadhali.
Nikipimo kipi utatumia kujua kwamba shockups zako zinahitaji kuwa replaced?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngingi ngiii badala ya kunesa au...
What...[emoji15][emoji15][emoji15]Ukitaka kujua uimara wa shock absorber, tafuta kilima kidodo kw barabara ya vumbi - rough road, kw gear namba tatu na mwendo wa wastani utapata gari lina vuta upande (sideways) kama vile lina bounce/nesa kusonga kw kando!
Pengine waeza karibu hili ni kwa rumble strips - yale matuta madogodogo kama manne hv.