Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
cc Kingai, Goodluck, Mahita et el
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili ya mtu mwovu ni kujipendekeza na kiherehere.......Hii nimeichukua TycoonDalili moja wapo ya Askari Muovu ni kujipendekeza na kiherehere, ujapokuwa kiherehere Watawala watakutumia kwenye kazi zao Ovu na hatari, nawe utashindwa kukataa Kwa sababu unapenda kuwafurahisha, pengine ukafikiri watazidi kukupenda lakini sivyo, kwani utaangamia Kwa Uovu wako mwenyewe.
Libandikwe Afrika nzima na duniani kote. Nadhani ni bandiko moja Murua kwa mwaka 2022.Bandiko hili libandikwe kwenye ofisi zote za majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania.
Huu uzi umekaa kama kitabu cha Hekima ya Suleimankuna wajinga wataona kama umewasema watu flani flani . natamani kila askari asome.
sijawahi kusoma uzi mkali na uliosimama kama huu. kuna muda nilikuwa nahsi kama nasoma kipande cha biblia kilichokataliwa.
Jamaa ametema nondo kama Kitabu cha MhubiriMaandiko yako yamesimamia haki na maonyo. Haupo mbali Kama manabii katika kitabu Cha Mfalme Suleman na mafundisho yake kwenye Biblia Takatifu.
Sent from my Redmi 7 using JamiiForums mobile app
Jamaa wewe ni hazina. huu ni Wahayi sio maneno yako. Nahisi ujumbe huu watoka kwa Malaika Gabrieli.Usibishane Na Mkuu wako akuagizapo, ukijua kuwa Mkuu wako amekuagiza kutokana na jinsi ulivyojionyesha tangu siku ya Kwanza. Ukiona amekutuma kwenda kudhulumu basi jua wewe ni mdhulumaji na ulijitambulisha hivyo kimatendo.
Naunga mkono hoja. Biblia ni muunganiko wa vitabu. Havikupatikana kwa siki moja. Hiki naona kilosahaurika au kilikuwa hakijatufikia. Tukiongeza kitakuwa cha 78 kwa Hypocripher au cha 67 kwa DuetrocanonMkuu ROBERT HERIEL hii inafaa tuiwekee misitari na iongezwe kwenye Biblia kabisaa
Niliwahi kusoma katika historia kuhusu vita ya dunia kwamba kuna kabila hapa Afrika lilikuwa na wastani wa akili asli (IQ) chini ya wastani au pungufu. Mtu wa kabila hilo aliposhitukizwa akashikwa na adui mmoja tu, adui alikuwa na kiburi cha kumuuliza mateka achague anataka auawe vipi. Mwishowe adui alimwamuru mateka achimbe kaburi ili amzike akiwa hai! Na kweli yule mateka akafanya hivyo! Ikumbikwe hata kwenye sheria za kimataifa, ukisha mdhibiti adui huruhusiwi kumwua au kumtesa isipokuwa kama hafuati masharti ya mateka! Mwandishi wa Vita anauliza kuwa kwa nini huyu Mkabila hakuchagua afe akipigana pengine angeshinda kuliko alivyoamua afe kwa kuchimba kaburi lake azikwe hai bila kujaribu bahati yake kwa kupigana; kwamba kote ni kufa lakini kupigana matokeo yake ni kama kutupa karata. Ndiyo maana akili asili hapo inahusushwa! Leo Watanzania wazima mnaamini askari ana ruhusa ya kumwua au hata kumtesa raia kwa amri ya kiongozi bila kufuata sheria! Mjue kuwa kwa mujibu wa sheria, hata askari anayejitetea anatakiwa atumie nguvu kiasi ya kumshinda adui tu na si zaidi ya hapo. Nchi ye yote inayotawaliwa kwa misingi ya demokrasia na haki za binadamu jambo moja la muhimu kabisa katika Katiba yake ni kulinda, kudumisha uhai wa raia na mali za raia wake.Mazingira yanayoruhusu askari kutoa uhai wa mtu yameainishwa katika sheria. Kama mmezoezwa raia kuuawa au kupigwa sasa mmefikia kiwango cha kuwaasa askari ambao ni walinzi wenu namna ya kuwafanyia jinai kwa huruma, kwa mfano kuwapa fursa za sala na kadhalika kabla hawajatoa roho zenu, basi inaonesha uelewa wenu ulivyo duni. Lakini kuwa na thubuti ya kuandika kutetea hoja kama hiyo hadharani kama mnavyoandika kwenye uzi huu INATISHA na ni AIBU; pia inaonesha ambavyo katika Tanzania yetu UELEWA wa mambo unavyoporomoka! Ndiyo maana awali niliuliza Tanganyika tulipigania uhuru wakati tulikuwa tunatawaliwa na mkoloni ili iweje kama siyo kujihakikishia na kulinda uhai, utu, mali na maendeleo yetu!!Wadanganye wenye mawazo kama yako,askari anaruhusiwa kufanya hivyo endapo muharifu anahatarisha maisha yake au ya watu wengine ndio maana wanakuwa public armed na kwa kumbukumbu zaidi rejea kwa hamza move za waarabu zilimdanganya akavuna alichopanda.
Kwamba ukihatarisha usalama anaruhusiwa kukuua,,, ila yeye akihatarisha usalama wako huruhusiwi kufanya lolote....Ndiyo maana akili asili hapo inahusushwa! Leo Watanzania wazima mnaamini askari ana ruhusa ya kumwua au hata kumtesa raia kwa amri ya kiongozi bila kufuata sheria! Mjue kuwa kwa mujibu wa sheria, hata askari anayejitetea anatakiwa atumie nguvu kiasi ya kumshinda adui tu na si zaidi ya hapo
mtamu sanaHuu uzi umekaa kama kitabu cha Hekima ya Suleiman
Uzi umetulia mno.mtamu sana
Wapi Kamanda Msomi Kibatala/ Mallya, wazee wa PGO😄