Utake usitake: Tundu Lissu atahutubia Taifa tarehe 12 Februari 2025

Utake usitake: Tundu Lissu atahutubia Taifa tarehe 12 Februari 2025

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.

Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.

#StrongerTogether
20250210_190400.jpg
 
..mbona kuna taarifa nyingine kwamba siku hiyo atakuwa kwenye msiba wa kada wa Chadema Manyara?
Mazishi ya Dk Magoma yatafanyika Jumanne, Februari 11, 2025, katika mji wa Magugu, Kijiji cha Matufa, Wilaya ya Babati, Mkoani Manyara. Na Tundu Lissu atakuwepo.

Tarehe February 12 Lissu atakua Mikocheni. Karibu sana.
 
Hizo tarehe mbili tofauti mkuu. Mazishi ni kesho na hotuba Jumatano.
uongo mada imeletwa humu kuwa tarehe zote ni siku hiyo hiyo

Tundu Lissu kuongoza Mazishi ya Derrick Magoma yatakayofanyika Manyara 12/02/2025​

 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.

Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.

#StrongerTogether
View attachment 3232341
kizuri kinajiuza kibaya chajitembeza, sasa mambo ya utake usitake ya nini?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.

Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.

#StrongerTogether
View attachment 3232341
Tundu Lissu hawezi kuhutubia taifa, hana hadhi hiyo bali atahutubia wana CHADEMA waliopo Tanzania. Ila sijui muko wangapi
 
Waandishi wa habari uchwara ndio wataenda

Media serious hupenda mwito uwe na agenda mtu ataongelea nini ili mhariri atume watu wabobezi eneo husika mfano agenda ikiwa ni sheria au uchumi au uchaguzi nk mhariri hujipanga atume mwandishi yupi mbobezi eneo husika

Haya mambo ya kuita tu waandishi wa habari bila agenda yeyote inasababisha waandishi vilaza kwenda
 
Back
Top Bottom