Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump kaharibu sana mipangoMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.
Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#StrongerTogether
View attachment 3232341
Wigo wa waleta habari umeongezeka, na hayo ni maendekeo makubwa sana, Hamtaki nipandishwe Cheo jamani?Erythrocyte ameabaki kuwa mtandiaji wa nyuzi za wengine,siku hizi hatupashi habari za ndani kabisa juu ya chadema,kulikoni bwana Erythrocyte ?
Alimletea mzigo hadi sebuleni kwake akaukataaAbdul naomba umwage mapesa kwa lissu asimsumbue mamaš
Mungu baba Ibariki CHADEMA .. Mungu baba mbariki TALMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.
Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#StrongerTogether
View attachment 3232341
au ndiye Nyerere (jasusi uchwara)Erythrocyte ameabaki kuwa mtandiaji wa nyuzi za wengine,siku hizi hatupashi habari za ndani kabisa juu ya chadema,kulikoni bwana Erythrocyte ?
Na wewe sasa utapoteza credibility ya habari zakoWigo wa waleta habari umeongezeka, na hayo ni maendekeo makubwa sana, Hamtaki nipandishwe Cheo jamani?
Ukishapanda Cheo haya mambo mengine unawaagiza vijana wayalete humu JF
View attachment 3232420
FFU wenyewe wana njaa kama zote! tokea kipindi cha JK maslahi yao hayajaboreshwa chochote!Huenda akiamka tu siku hiyo kwenda ofisini atakuta FFU wamezingira ofisi za Chama!
Tumwombe Mungu.
Anahutubia Taifa au anahutubia Wana Chadema wenzake?Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.
Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#StrongerTogether
View attachment 3232341
Kwani kuna mkutano wa nishati mwingine?Huenda akiamka tu siku hiyo kwenda ofisini atakuta FFU wamezingira ofisi za Chama!
Tumwombe Mungu.
Wahariri wabobezi wanapatikana wp haoWaandishi wa habari uchwara ndio wataenda
Media serious hupenda mwito uwe na agenda mtu ataongelea nini ili mhariri atume watu wabobezi eneo husika mfano agenda ikiwa ni sheria au uchumi au uchaguzi nk mhariri hujipanga atume mwandishi yupi mbobezi eneo husika
Haya mambo ya kuita tu waandishi wa habari bila agenda yeyote inasababisha waandishi vilaza kwenda
Lisu akiitisha mkutano wa hadhara Dar akipata watu 100 bahatiAnahutubia Taifa au anahutubia Wana Chadema wenzake?
Media house wanao mfano wako waliosomea uandishi wa habari ns sheria mfano Pascal Mayala nk wanakuwa na fani mbili uandishi na fani ingine mfano degree za uchumi na uandishi wa habari,degree za fedha na uandishi nk hivyo agenda ikihusu sheria au katiba mhariri akipata agenda itakayoongelewa mapema hujua atume mbobezi eneo hiloWahariri wabobezi wanapatikana wp hao
Eti karibia mwezi unafika Mwenyekiti HAJAWAHI kujitambulisha hadharani. Mwishowe eti anahutubia kupitia online tv ya Jambo! Ahahahahaha!!!Lisu akiitisha mkutano wa hadhara Dar akipata watu 100 bahati
Ndio maana anakomaa tu youtube huko kuficha aibu
Nchi nzima tutakuwa live!!
Yaani hotuba ya kwanza toka awe Mwenyekiti anahutubia online badala ya mkutano wa hadharaEti karibia mwezi unafika Mwenyekiti HAJAWAHI kujitambulisha hadharani. Mwishowe eti anahutubia kupitia online tv ya Jambo! Ahahahahaha!!!
Hata mimi linanishangaza kweli. Angelikuwa Mbowe, angeliisharuka na chopa kwenye mikoa zaidi ya mitano na kuleta hamshahamsha. Lakini Lissu chopa hawezi kukodi na michango ya kununua gari haieleweki. Eti Mwenyekiti! My foot!Yaani hotuba ya kwanza toka awe Mwenyekiti anahutubia online badala ya mkutano wa hadhara
Hali mbaya kwake
Kwenye kuwa mjinga nakubali kabisa, lakini ikumbukwe kwamba Habari ya Tundu Lissu Kuongoza mazishi ya Derrick ilitangazwa na Amani Golugwa, Mimi nikaisogeza tu JF, Sasa kama ni lawama ni vema akapewa Golugwa.Na wewe sasa utapoteza credibility ya habari zako
Lisu anaenda Manyara kwenye mazishi au atakuwa Dar es salaam kutoa hotuba tarege hiyo 12?
Mjinga wewe
Kuepuka lawama uwe una quote usiandike kama wewe ndie mwanzisha hiyo taarifaKwenye kuwa mjinga nakubali kabisa, lakini ikumbukwe kwamba Habari ya Tundu Lissu Kuongoza mazishi ya Derrick ilitangazwa na Amani Golugwa, Mimi nikaisogeza tu JF, Sasa kama ni lawama ni vema akapewa Golugwa.
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£kizuri kinajiuza kibaya chajitembeza, sasa mambo ya utake usitake ya nini?