Utake usitake: Tundu Lissu atahutubia Taifa tarehe 12 Februari 2025

Utake usitake: Tundu Lissu atahutubia Taifa tarehe 12 Februari 2025

Aliibwaga imani yako dhidi ya mzee Mbowe.Lissu ni mnoma sana.
mbona nakufikiriaga kama mtu mwenye mawazo ya kuona things in their right perspective! Right from the inception of uchaguzi, nilionya kuhusu Lisu aina ya kampeni anazozifanya! CHARACTER ASSASSINATION! Hakuna issue ya kubwaga imani hapa. And I am sure Lisu is going to fail!
 

Attachments

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.

Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.

#StrongerTogether
View attachment 3232341
Wale polis njaa waende tena sasa this time
20241127_144855.jpg
 
mbona nakufikiriaga kama mtu mwenye mawazo ya kuona things in their right perspective! Right from the inception of uchaguzi, nilionya kuhusu Lisu aina ya kampeni anazozifanya! CHARACTER ASSASSINATION! Hakuna issue ya kubwaga imani hapa. And I am sure Lisu is going to fail!
Siyo kila muda uwe serious.Kuna muda nakuwa nimevuta bangi.
 
Kuna mtu aliandika humu kuwa Lisu hawezi hudhuria msiba ana masharti ya waganga wake wa kienyeji
Hakuna kiongozi wa CHADEMA anaytegemea ushirikina. Hayo yapo CCM tu, Chama Cha Mahetani na Majini.
 
Onesha grafu ilivyokaa kuhusu hiyo heshima.
IT WAS VERY BAD, VERY BAD! KAMA MTU AMEKULEA TOKA "UTOTO WA SIASA", UKAPATA UMAARUFU, AKASHIKA ROHO YAO WAKATI UMEPIGWA RISASI, NA BILA MAAMUZI YAKO KUWA UPELEKWE NAIROBI NA SI MUHIMBILI, UNGELIKUWA MAITI. BADO UNAMBAGAZA MTU KAMA HUYO...KWELI HAWA WATANZANIA USIOWAJUA SURA ZAO UTAWAFANYIA LOLOTE!

LISU IS NO LONGER MY FAVORITE POLITICIAN AS HE WAS LAST YEAR!
 
IT WAS VERY BAD, VERY BAD! KAMA MTU AMEKULEA TOKA "UTOTO WA SIASA", UKAPATA UMAARUFU, AKASHIKA ROHO YAO WAKATI UMEPIGWA RISASI, NA BILA MAAMUZI YAKO KUWA UPELEKWE NAIROBI NA SI MUHIMBILI, UNGELIKUWA MAITI. BADO UNAMBAGAZA MTU KAMA HUYO...KWELI HAWA WATANZANIA USIOWAJUA SURA ZAO UTAWAFANYIA LOLOTE!

LISU IS NO LONGER MY FAVORITE POLITICIAN AS HE WAS LAST YEAR!
Acha porojo ndugu
 
Back
Top Bottom