figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Hakika.Tunaingoja kwa hamu hiyo hotuba maana kwa sasa ndiye kiongozi pekee mwenye kutoa hotuba akaeleweka na ukatamani aendelee kuongea! Rais wetu ajaye asiye na mawaa wala kunyazi! Mzalendo wa kweli!
Mazishi ya Dk Magoma yatafanyika Jumanne, Februari 11, 2025, katika mji wa Magugu, Kijiji cha Matufa, Wilaya ya Babati, Mkoani Manyara. Na Tundu Lissu atakuwepo...mbona kuna taarifa nyingine kwamba siku hiyo atakuwa kwenye msiba wa kada wa Chadema Manyara?
Kuna mtu aliandika humu kuwa Lisu hawezi hudhuria msiba ana masharti ya waganga wake wa kienyeji..mbona kuna taarifa nyingine kwamba siku hiyo atakuwa kwenye msiba wa kada wa Chadema Manyara?
Kuna mtu aliandika humu kuwa Lisu hawezi hudhuria msiba ana masharti ya waganga wake wa kienyeji
Hizo tarehe mbili tofauti mkuu. Mazishi ni kesho na hotuba Jumatano...mbona kuna taarifa nyingine kwamba siku hiyo atakuwa kwenye msiba wa kada wa Chadema Manyara?
Hizo tarehe mbili tofauti mkuu. Mazushi ni kesho na hotuba Jumatano.
kizuri kinajiuza kibaya chajitembeza, sasa mambo ya utake usitake ya nini?Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.
Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#StrongerTogether
View attachment 3232341
Exactly, that is very likely to happen!Huenda akiamka tu siku hiyo kwenda ofisini atakuta FFU wamezingira ofisi za Chama!
Tumwombe Mungu.
Tundu Lissu hawezi kuhutubia taifa, hana hadhi hiyo bali atahutubia wana CHADEMA waliopo Tanzania. Ila sijui muko wangapiMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.
Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#StrongerTogether
View attachment 3232341
Akihutubia waabdishi wa habari wanatakiwa wahudhurie? Si wasikilize tu kupitia youtube?Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni.
Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
#StrongerTogether
View attachment 3232341