Utakuwa wapi? Unakaribishwa tuserebuke!

Utakuwa wapi? Unakaribishwa tuserebuke!

Hahahaha.... mkuu hiyo landrova itamtosha mama WiseLoad sore Ai miin Wiselady? Ameniahidi atajumuika nasi kwenye kuria kidoko.

Itatosha tuko radhi tushushe njema yeyote yeyote yeye apate nafasi zei sei ledizi festi
 
Nimeshapotezea nilikuwa nakusubiri uone,,,haya msalimie Nguli akija.

Tatizo Nguli akiingia gesti anakuwa kama mtu aliyeingia msalani akiwa kabanwa na tumbo la kuharisha.
 
Itatosha tuko radhi tushushe njema yeyote yeyote yeye apate nafasi zei sei ledizi festi

Wise the lady...need I say more?

Afu itabidi tupitie kiboriloni tuchaji kwa mbege spesho toka Kibosho
 
ha ha ha ah aha nimecheka mm namsimamo mkali kuliko wa alkaidia na elishabab kwenye swala la infidelity



katika avatar nisizozielewa hii no moja

huwa najipa moyo kuwa iko siku nitaielewa lakini wapi
 
Mimi nitaleta kata za kunywea Mbege...Pia nitaandaa mtura..!
 
Back
Top Bottom