Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli afya kwanza mkuu ,ila fedha mnazopewa na mabeberu kwa ajili ya korona mbona wajanja wazitafuna na haziendi kwenye kufight covid19?Wala sijahangaika kujua hizi taarifa zinahusu nini ila kwa sasa afya yetu muhimu, lazima mpimwe mkija.
Economic intelligence yao imefeli. Kinachowatesa wale ni chuki na wivu tu. Hatakuwalazimisha lockdown, kila MTU alitumia njia yake, kwanini kuoneana nongwa?Kenya wanachofanya wanajaribu kupiga promo kama TANZANIA hali ni mbaya kuhusu Corona ili isiwe pekeyake ndio wanajaribu kulazimisha kutangaza TANZANIA kuna Corona wanajua wakiwa pekeyao TANZANIA itapiga pesa kwenye utalii sasa kinya haina nia nzuri na TANZANIA dawa mazungumzo yasikubaliwe mpaka watangaze kila Kwa miezi 3 kwamba visit ngorongoro , Kilimanjaro is safe
Hivi unajua onyango Jana alikuwa anakipiga arusha kwenye ngao ya hisani? Mzee Kikwete alishawahi kusema "akili za kuambiwa, changanya na zako" Kwa sasa mmeanza kumuelewa Magu ni nani. Anaenda kupiga tena 5, mbona atawanyosha tena.Wala sijahangaika kujua hizi taarifa zinahusu nini ila kwa sasa afya yetu muhimu, lazima mpimwe mkija.
Hapo ndo utajua unafk wa ke uko wapi. Kupambana na bongoland ni kujitesa bure, watashindana na sisi lakini hawatashindaIngekuwa busara sana kama Tanzania wangefuka mipaka yote na Kenya.
Yani hata mabasi na malori yasiwe yanapita mipakani. Maana kama wamefunga mipaka ya ndege na bado barabara zipo wazi na watu wanaotoka tz hawawekwi Karantini basi huu ni usanii mkubwa sana Kenya wanaoufanya.
Hahahaha, still on denial?Ebu weka video akisema hivo.
Kweli afya kwanza mkuu ,ila fedha mnazopewa na mabeberu kwa ajili ya korona mbona wajanja wazitafuna na haziendi kwenye kufight covid19?
Hii ni statistics ya wahanga wa njaa sio corona.Ngoja kwanza tuone mkubwa naniView attachment 1553748
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hili suala nlishawahi lifikiri sana, kuna uwezakano kuna watu wako behind hii kitu ili wapige mpunga, si unajua ke watu walivyo waroho? Huu ni mradi wa watu ndugu yanguMbinu ya kenya kupotosha ulimwengu kua raia wanakufa kwa corona wakati ni njaa haitazaa matunda
Kaka amini usiamini, hakuna lolote Kenya wamepanga katika hili, tatizo lao hawa jamaa ni uwezo mdogo wa kufikiria, jambo linalowafanya kuingia katika matatizo makubwa hata katika kuendesha nchi yao. Uwezo wao ni mdogo na hawataki kusikiliza ushauri wanajiona wao ndio kila kitu.Hili suala nlishawahi lifikiri sana, kuna uwezakano kuna watu wako behind hii kitu ili wapige mpunga, si unajua ke watu walivyo waroho? Huu ni mradi wa watu ndugu yangu
Muda unazidi kuhesabu
Tanzania ikifunga mipaka yake kwa Wakenya hali itakuwa ni kiliona kusaga meno.
Kenya njooni kwa adabu tuyajenge maana viongozi wenu wanapo jimwambafy kuitunishia misuli Tanzania wakati wao wanakwiba mpaka fedha za kuokoa maisha ya Wakenya dhidi ya Corona wanakosea sana.
Mmebugi kumchezea sharubu mkemia. Endeleeni na Kiburi sisi tupo salama
Hili suala nlishawahi lifikiri sana, kuna uwezakano kuna watu wako behind hii kitu ili wapige mpunga, si unajua ke watu walivyo waroho? Huu ni mradi wa watu ndugu yangu
Unakumbuka waliwahi kutuwekea zuio magari ya utalii wasichukue watalii Kenyata Airport?safari hii hatucheki na kima tena, tumeshaona wanatuona watoto wenzao.
unakumbuka mara ya kwanza!! sioni dalili yoyite ya ndege kuachiwa zitue, hasa ukizingatia tuna ndege zetu nasisi.
Hiyo kwetu ni👇Wala sijahangaika kujua hizi taarifa zinahusu nini ila kwa sasa afya yetu muhimu, lazima mpimwe mkija.