joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #81
Muambie akuonyeshe ushaidi ambapo polisi wa Uganda alishawahi kumsumbua mtanzania hata mmoja kama wanavyowapiga na kuwauwa wakenya kila siku.Hao Uganda tuliowasaidia kumwondoa idi amini huku museveni akiwa mkimbizi ndio unafikiri wana ubavu wa kutuwekea wanajeshi
Mbn unawapa siri hawa mapimbi? Wacha corona iwafyeke kwa ujinga wao ili wapelekewe chanjo ya mzungu iwauwe kizazi na kende zao.Sasa hao wanaopimwa na kukutwa nacho kirusi cha korona mbona wanadunda fresh na wapo poa bila dalili yeyote na huku walikuwa wanajichanganya bila kuambukiza wowote? April-June kovid ilitutandika ila tulipiga nyungu,tulikula malimao,tangawizi,michai chai kwa wingi tukaitokomeza corona.
Uganda anawanyanyasa na kuwabaka ninyi Wakenya hatothubutu kumgusa baba yake mTz.Tatizo kila mkipimwa kwa nchi yoyote jirani mnakutwa nacho, ndio maana Uganda kaweka jeshi kabisa mpakani.
Yaani hapa tukija kuwaachia tutajuta sana balaa.
Sawa Mkuu endeleeni kupiga fedha za MABEBERU sie huku hakuna lock down wala baba yake lock down tunapiga kazi mwanzo mwenga.Kwenu huko haiwezekani kujua nani anadunda freshi au la maana hampimi, na kila anayeumwa hakuna anayediriki kusema anaumwa corona maana mlishaifanya aibu fulani hivi, inabaki siri ya ndani. Pona yenu ni kwamba corona haiui sana huku Afrika, maana hata sisi ambao hatujajichokea na tunaendelea kupima na kutangaza, vifo kwetu ni vichache ukilinganisha na maelfu ya wazungu wanaokufa kila siku.
Hao Uganda tuliowasaidia kumwondoa idi amini huku museveni akiwa mkimbizi ndio unafikiri wana ubavu wa kutuwekea wanajeshi
Sawa Mkuu endeleeni kupiga fedha za MABEBERU sie huku hakuna lock down wala baba yake lock down tunapiga kazi mwanzo mwenga.
Endeleeni kuwatumikia mabeberu na corona zenu. Sisi huku tulishasahau msamiati CoronaKama hela zipo freshi, waambiwe wazitume ila Mtz huku lazima tumpime, apanue mdomo tutumbukize kifaa cha kupima, yaani hilo wala hatuna chuki au mawazo yoyote mabaya dhidi ya Watanzania au Tanzania, ila tu ukija kubali masharti ya kupimwa, mbona tutaendana freshi tu.
Hee kumbe wenzetu mnapanuliwa midomo. Duh....Wakenya kweli si ridhikiKama hela zipo freshi, waambiwe wazitume ila Mtz huku lazima tumpime, apanue mdomo tutumbukize kifaa cha kupima, yaani hilo wala hatuna chuki au mawazo yoyote mabaya dhidi ya Watanzania au Tanzania, ila tu ukija kubali masharti ya kupimwa, mbona tutaendana freshi tu.
Na ni kenya ndio inaongoza kwa kusambaza kirusi kule Uganda.Uganda anawanyanyasa na kuwabaka ninyi Wakenya hatothubutu kumgusa baba yake mTz.
Hata wewe idd amin humjui na taifa lako lilikuwa likimwogopa sana kila mara akitishia kuwatwanga Tanzania ilikuwa taifa pekee kidume lililompiga hadi akakimbia nchi yake nitajie taifa jingine lililofanya hivyo ndio maana Ethiopia anawafanyoa ubabe mataifa mengine wanaikua Tanzania sio ya kuchezewaKwanza kunao wana hasira sana ya Amin kuondolewa, maana huwa wanahisi ndio nchi yao ilikwama na kuganda baada ya hapo.
Hata hivyo hizo ni history, kizazi cha leo kwa waliozaliwa baada ya 1980 wengi hamjui Idd Amin na hawana muda na lelemama stories, ukiingia kwao lazima upimwe corona hata kama ulihusika kwenye vita vya Kagera lazima upimwe.
Na ndivyo ilivyo kwa Kenya, kila anayetokea Tanzania lazima apimwe hamna nini wala nini, kwanza sisi hatujazuia ndege zenu maana hizo mlizonunua kwa kujitesa hazijawahi kutupea tatizo lolote, siku zote mnazipigisha ruti za daladala huko, kitu ambacho tumekazania na hatutaachia ni hilo la kupimwa, uking'ang'ania unataka kuingia Kenya lazima upimwe.
Hata wewe idd amin humjui na taifa lako lilikuwa likimwogopa sana kila mara akitishia kuwatwanga Tanzania ilikuwa taifa pekee kidume lililompiga hadi akakimbia nchi yake nitajie taifa jingine lililofanya hivyo ndio maana Ethiopia anawafanyoa ubabe mataifa mengine wanaikua Tanzania sio ya kuchezewa
Huwezi kuwajua kwa sababu historia yenu mnafundishwa zaidi kumjua malkia kuliko asili yenuIdd Amin simjui nje ya kusoma kumhusu, hata Nyerere huwa namskia tu, japo nachokijua wote hao wamezikwa kwenye vitabu vya historia watoto wasome kuwahusu, namna Tanzania kwa kiherehere walikua wanapenda kuingilia ugomvi kwenye nchi za watu, kwa mfano huyo Museveni na wanajeshi wake walipewa hifadhi Tanzania na kupanga mashambulizi dhidi ya Amin.
Hata hivyo leo hii tuna changamoto za kisasa, Mtanzania ukithubutu kuingia Uganda au Kenya au kwa majirani zenu wote lazima upanue mdomo upimwe hata kama ulishiriki kwenye vita vya Kagera.
Sasa hao wanaopimwa na kukutwa nacho kirusi cha korona mbona wanadunda fresh na wapo poa bila dalili yeyote na huku walikuwa wanajichanganya bila kuambukiza wowote? April-June kovid ilitutandika ila tulipiga nyungu,tulikula malimao,tangawizi,michai chai kwa wingi tukaitokomeza corona.
Huwezi kuwajua kwa sababu historia yenu mnafundishwa zaidi kumjua malkia kuliko asili yenu
Unakujua hadi buza halafu unapiga kelele kuna Corona kumbe unejificha TanzaniaHata huyo malkia simjui, huwa nasoma tu kumhusu, watu wa Buza mnamfahamu IDD Amin, wow hongereni.
Nani katubabaisha?Ndo huo uchumi tunao doubt humu, hv inakuwaje uchumi wako mkubwa af unababaishwa na mtu uliyemzd? Maana ya uchumi kuwa mkubwa dhidi ya fulani iko wapi ss, yn nyie mna uchumi mkubwa kuliko Tz lkn hatima ya uchumi wenu kaishikiria Tz huoni kwamba Tz ndio inapaswa kujisifu kuwa na uchumi mkubwa zaidi yenu? Au tafsiri ya uchumi ipoje kichwani mwako ww mbugila [emoji3][emoji3]
si ndo maana nasema COVID19 was just a gimmick to hide their really intentions!Wameruhusu karibu nchi zote, je hawaogopi tena Corona?