Utalii wa ndani, Wakenya wafurika Pwani na kusababisha hoteli zote kujaa, hamna nafasi

Haina haja wakati punda Kama nyinyi mnatufanyia kazi. Sisi yetu Ni kununua tuwanusuru wakulima wenu kutoka u amasikini.
Na ile misaada ya chakula mnayopewa nayo mnanunua auu mda utafika tutakupeni misosi bure af tutawaoa wehu nyie
 
Mmeshiba makande/Gideri ya Mrusi/Russia sasa mnatoa mishuzi mmeamua kuandika vijitaarifa vya kudanganya, Wakenya kwa kujifanya mkoo mbali ilihali mnahali mbaya ya maisha, hao unaowasema wamejaza vyumba Mombasa si ndo mnaowapigia kelele kuwa mafisadi ngoja wazipige pesa mtakuja kustuka chungu kimeisha
 
Na ile misaada ya chakula mnayopewa nayo mnanunua auu mda utafika tutakupeni misosi bure af tutawaoa wehu nyie
Hamjawahi tupatia bure tunanunua kwa pesa zetu ili twakamue wakulima wenu wasife maskini. Kenya ishawahi wapatia msaada Tz ama unapinga nikuwekee link
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijeshi hapana mzee, al shabab watatu tu waliikalisha kenya siku tatu na wakashindwa kuwaua na kuishia kuiba mikate
 
Hehe he acha niongeze chumvi kwa kidonda[emoji23][emoji23]In Tanzania 40.9% live in poverty while in Kenya only 16%.View attachment 1304904View attachment 1304905

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujifariji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚



 
Watanzania Ni masikini wa kutupwa hawawezi kutalii Nchi Yao. Mambo ya utalii Tz wawachieni Wazungu na Wakenya.

 
Tanzania is the poverty capital of East Africa. Even Somalia is richer than you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania is the poverty capital of East Africa. Even Somalia is richer than you.

Sent using Jamii Forums mobile app
According to you,

 
Tanzania 40%. This is December 2019, Kenya ni 16%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania 40%. This is December 2019, Kenya ni 16%View attachment 1304940

Sent using Jamii Forums mobile app
World Bank na wewe nani ana akili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…