Utalipwa Dola $200,000 ikiwa utatoa sura na sauti kwa Roboti

Utalipwa Dola $200,000 ikiwa utatoa sura na sauti kwa Roboti

Nimepokea reply email yao baada ya kuomba miezi 3 iliyopita wanasema niko peke yangu Afrika.
Hapa nakula mayai tu na urojo, asali mbichi, kujiweka sawa kwa kuingiza sauti.

Link nitaiweka hapa, punde
MKUU KUWA SERIOUS BASI 😎
 
Dollar 200,000 Kwa gharama ya leo 1$ ni TShs. 2,658.92

200,000 x 2,658.92=531.7M

Hizo ni hela nyingi sana Kwa kuweka sauti na Sura yangu Kwa robot

Wailete Afrika hiyo offer tuichangamkie
Mkuu hawajataja umri, which is nna uhakika itakuwa kwa range ya 18 labda mpk 25. Wazee sidhani kama tutatoboa katika hili. Also sauti nazo zaishaanza kukwaruza nani atataka kuzisikia 🤣
 
Mkuu hawajataja umri, which is nna uhakika itakuwa kwa range ya 18 labda mpk 25. Wazee sidhani kama tutatoboa katika hili. Also sauti nazo zaishaanza kukwaruza nani atataka kuzisikia 🤣
😁😁😁
Sauti si unaimodoa tu.
 
Utalipwa Dola $200,000 ikiwa utatoa sura na sauti kwa Roboti

View attachment 3269174

Kampuni ya kuunda Maroboti toka Russia Prompt imeweza kutoa ofa ya Dola $200,000 kwa mtu Yeyote anayetaka kuchukua sura yake apewe Roboti pamoja na sauti kwa ujumla.

Roboti huyo ataweza kuwa na hati miliki kamili kuanzia sura na sauti yako ambayo itaweza kutumiwa Maeneo ya hotelini, migahawani, hospitali na Maeneo mengine ya umma.

Kampuni hiyo imesema Tayari imeshapokea zaidi ya maombi ya watu 20,000 ambapo wanasema wameshangazwa muitikio wa watu umekua mkubwa hawakutegemea kabisa. Mchakato mzima wa kuunda Roboti kwenye muundo wa 3D ambapo ataweza kufanana kama alivyo mwanadamu.

View attachment 3269176

Endapo utachaguliwa kuweka sauti yako kwa Roboti basi utaweza kurekodi sauti yako ndani ya masaa 100 ya hotuba ili kuweza kutoa sauti kamili na taarifa nyingi ili Roboti aweze kuzungumza vyakutosha kampuni hiyo ilisema.

Kwa sasa matumizi ya Roboti kwa nchi za ulaya yamekua makubwa kwani zinatumika mahali tofauti unaweza safiri kwenye usafiri wowote wa umma ukapanda na Roboti kwenye nyumba za kuishi, mikusanyiko nk.
Wanataka roboti awe muafrika, mchina, mhindi au mzungu wa ulaya?
 
vp naruhusiwa kwenda na tuchalii twangu,...?🤔
 
Ukishatoa hiyo sura na sauti wewe unabaki na nini? Au wanacopy tu vitu hivyo halafu unabaki kama ulivyo? Tueleze yatokanayo
 
Mkuu hawajataja umri, which is nna uhakika itakuwa kwa range ya 18 labda mpk 25. Wazee sidhani kama tutatoboa katika hili. Also sauti nazo zaishaanza kukwaruza nani atataka kuzisikia 🤣
Naona umeamua kuniondoa kijanja kwenye shindano Babu yenu 🤗

Sisi Generation A hatuna chetu kwenye shindano 😜
 
Utalipwa Dola $200,000 ikiwa utatoa sura na sauti kwa Roboti

View attachment 3269174

Kampuni ya kuunda Maroboti toka Russia Prompt imeweza kutoa ofa ya Dola $200,000 kwa mtu Yeyote anayetaka kuchukua sura yake apewe Roboti pamoja na sauti kwa ujumla.

Roboti huyo ataweza kuwa na hati miliki kamili kuanzia sura na sauti yako ambayo itaweza kutumiwa Maeneo ya hotelini, migahawani, hospitali na Maeneo mengine ya umma.

Kampuni hiyo imesema Tayari imeshapokea zaidi ya maombi ya watu 20,000 ambapo wanasema wameshangazwa muitikio wa watu umekua mkubwa hawakutegemea kabisa. Mchakato mzima wa kuunda Roboti kwenye muundo wa 3D ambapo ataweza kufanana kama alivyo mwanadamu.

View attachment 3269176

Endapo utachaguliwa kuweka sauti yako kwa Roboti basi utaweza kurekodi sauti yako ndani ya masaa 100 ya hotuba ili kuweza kutoa sauti kamili na taarifa nyingi ili Roboti aweze kuzungumza vyakutosha kampuni hiyo ilisema.

Kwa sasa matumizi ya Roboti kwa nchi za ulaya yamekua makubwa kwani zinatumika mahali tofauti unaweza safiri kwenye usafiri wowote wa umma ukapanda na Roboti kwenye nyumba za kuishi, mikusanyiko nk.
Maombi tunatuma wapi, nauliza kwa niaba ya Mume wangu 🤣🤣
 
that is not a problem the issue is what if your twin robot will do any violence..?
can't that be a problem to you because all police they'll be after you..! hizo dollar zitageuka shubiri..🤣
Umewaza mbali sana Mkuu

Imagine robot linaenda kubaka Wanawake, then kesi inakujia wewe waliyechukua sura yako 🙌

Mwisho wa Siku utaenda gerezani kama akina PDiddy na RKelly😜
 
Umewaza mbali sana Mkuu

Imagine robot linaenda kubaka Wanawake, then kesi inakujia wewe waliyechukua sura yako 🙌

Mwisho wa Siku utaenda gerezani kama akina PDiddy na RKelly😜
halafu ukute likisha baka kesi ikija wanaliondolea uume wanasema walilitengeneza bila uume hapo ndo utajua cha mtu ni nnya🤣
 
Back
Top Bottom