Utamaduni mpya wa uchumi duniani umeshabadilika, tujiandae kisaikolojia kwenda nao na si kuganda kule kule

Utamaduni mpya wa uchumi duniani umeshabadilika, tujiandae kisaikolojia kwenda nao na si kuganda kule kule

Wewe ngumbaru unaelewa hata nilichoandika?

Unaelewa sijahoji Mbarawa kupewa instruments of full powers kwa niaba ya Tanzania?

Unajua kusoma kwa ufahamu wewe ngumbaru?

Mkataba umeusoma wewe maamuma?

Haya ndiyo matatizo ya kujibizana na wapumbavu wanaobumbabumba mambo bila hata kujua kusoma kwa ufahamu.

You are an ignoble imbecile.

An insufferable idiot.

A calcified cretin.
Mapovu ya nini tena, hizo instruments of powers ambazo Samia alimpa Mbarawa kule Dubai ni mambo ya kawaida kabisa kwenye masuala ya mikataba.

Nimekupa mifano ya Kikwete kumkasimisha Karamagi miaka ile, ipo mifano ya Mkapa kuwakasimisha mawaziri wengi tu akiwa rais.

Au unapoandika instruments of powers unaona ni kitu kikubwa saaana ni lugha tu kaka Kiranga.

Punguza mapovu upepo kwa sasa unaelekea vibaya kwa nchi za magharibi na upo vizuri sana kwa mwarabu.

Mnakuja na sababu za kipuuzi za instruments of powers, mara vifungu vina matatizo na yote hayo mnapewa majibu mazuri tu.
 
Mapovu ya nini tena, hizo instruments of powers ambazo Samia alimpa Mbarawa kule Dubai ni mambo ya kawaida kabisa kwenye masuala ya mikataba.

Nimekupa mifano ya Kikwete kumkasimisha Karamagi miaka ile, ipo mifano ya Mkapa kuwakasimisha mawaziri wengi tu akiwa rais.

Au unapoandika instruments of powers unaona ni kitu kikubwa saaana ni lugha tu kaka Kiranga.

Punguza mapovu upepo kwa sasa unaelekea vibaya kwa nchi za magharibi na upo vizuri sana kwa mwarabu.

Mnakuja na sababu za kipuuzi za instruments of powers, mara vifungu vina matatizo na yote hayo mnapewa majibu mazuri tu.
Mapovu hata hujaanza kuyaona.

Kwanza kabisa, hujaelewa nilichoandika.

Pili hujasoma mkataba.

Tatu, ikiwa nimekosea na umesoma mkataba, basi wewe ni mpumbavu zaidi ya nilivyofikiri.

Bisha.
 
Mafuta yanaisha uarabuni so lazima waqngalie makoloni mapya Africa
 
Back
Top Bottom