Ukweli usemwe tu!
Kiongozi anapoumwa hapa nchini kwetu imekuwa kama kasumba kuficha ficha sana kutoa taarifa.
wakati ni haki ya umma kufahamishwa alipo mtumishi wao wanayemlipa!
Hata taarifa zinapotoka huwa kwa mbinde sana!
Na taifa hilihili linapotoa taarifa kirahisi pasipo kuombwa ombwa basi taarifa hiyo rahisi ya kiongozi kuumwa mara nyingi hufuatiwa na taarifa mbaya ya msiba!
Hii inatupa tafsiri gani kama wananchi; kama nikuficha bora iendelee kubakia kuwa siri maana mnatuchanganya!
Unless serikali iseme wazi leo kwamba haitaficha ficha tena kiongozi yoyote anapaumwa kama wenzetu huko ulaya hawafichi kitu hata rais akianguka bahati mbaya wanasema wazi kaanguka!
Kiongozi anapoumwa hapa nchini kwetu imekuwa kama kasumba kuficha ficha sana kutoa taarifa.
wakati ni haki ya umma kufahamishwa alipo mtumishi wao wanayemlipa!
Hata taarifa zinapotoka huwa kwa mbinde sana!
Na taifa hilihili linapotoa taarifa kirahisi pasipo kuombwa ombwa basi taarifa hiyo rahisi ya kiongozi kuumwa mara nyingi hufuatiwa na taarifa mbaya ya msiba!
Hii inatupa tafsiri gani kama wananchi; kama nikuficha bora iendelee kubakia kuwa siri maana mnatuchanganya!
Unless serikali iseme wazi leo kwamba haitaficha ficha tena kiongozi yoyote anapaumwa kama wenzetu huko ulaya hawafichi kitu hata rais akianguka bahati mbaya wanasema wazi kaanguka!