Rushwa na adui wa taifa. Nitoe mifano miwili
1. Undeshaji wa mabasi ya mwendo kasi una rushwa kiasi cha viongozi kuharibu mfumo wa kununua card za ticket.
2. Bandari nayo ufanisi mdogo ni hawa hawa viongozi wetu kupitisha mizigo ya marafiki bure.
Hawa waarabu wanakuja na kutumia mifumo ile ile tofauti ni kwamba wanazuia njia za rushwa kwa kupitia teknolojia.
Sasa tuna lalamika lakini tungetakiwa kulalamika zaidi wakati wala rushwa wapo.
Tatizo la nchi zetu hata Kenya wana tatizo hili wafanyakazi wa serikali ndiye wezi wakubwa wa mali za serikali. Sheria ziwe kali, kazi ziwe za mikataba na kuwe na list maalumu ya wala rushwa
1. Undeshaji wa mabasi ya mwendo kasi una rushwa kiasi cha viongozi kuharibu mfumo wa kununua card za ticket.
2. Bandari nayo ufanisi mdogo ni hawa hawa viongozi wetu kupitisha mizigo ya marafiki bure.
Hawa waarabu wanakuja na kutumia mifumo ile ile tofauti ni kwamba wanazuia njia za rushwa kwa kupitia teknolojia.
Sasa tuna lalamika lakini tungetakiwa kulalamika zaidi wakati wala rushwa wapo.
Tatizo la nchi zetu hata Kenya wana tatizo hili wafanyakazi wa serikali ndiye wezi wakubwa wa mali za serikali. Sheria ziwe kali, kazi ziwe za mikataba na kuwe na list maalumu ya wala rushwa