Utamaduni wa Watanzania kudhani masuala ya siasa hayatuhusu utatugharimu sisi na vizazi vyetu

Utamaduni wa Watanzania kudhani masuala ya siasa hayatuhusu utatugharimu sisi na vizazi vyetu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Watanganyika wamejenga dhana ya kutohoji wala kufuatilia masuala ya kisiasa na kudhani siasa haimunufaishi.

Mtu anaona kwakuwa anakula na kuishi mambo mengine sio ya muhimu, aani kwamba Katiba mpya sio suala linalotuhisu kwakuwa unaamka asbh unapata mkate basi.

Bandari zinauzwa
Serengeti unaenda kuchimbwa madini, kwa baadae Serengeti haitakuwepo, tupo kimya, Sasa vizazi vyetu vitakuta nini? Vitatuona tulikuwa wajinga kiasi gani?

Rushwa serikalini imekuwa kubwa, mali za umma zinauzwa.

Utekaji na mauaji
Tunaona kawaida Kwa kuwa hatujatekwa au kuuliwa sisi au ndugu wa karibu

Huduma mbovu za kijamii
Shule hazina walimu na madawati. Hospital hakuna madawa, watu hawana bima. Maji hakuna, umeme wa uhakika haupo.

Bunge limekuwa kama sehemu ya kuimba mapambio. Bunge limewekwa mfukoni. Bunge la wananchi linatunga sheria za kuwakandamiza wananchi, rejea mambo ya tozo n.k. Tuko kimya tu.

Tujifunze Kenya wao wale sio makondoo kama Watanganyika
 
Watanganyika wamejenga dhana ya kutohoji wala kufuatilia masuala ya kisiasa na kudhani siasa haimunufaishi.

Mtu anaona kwakuwa anakula na kuishi mambo mengine sio ya muhimu, aani kwamba Katiba mpya sio suala linalotuhisu kwakuwa unaamka asbh unapata mkate basi.

Bandari zinauzwa
Serengeti unaenda kuchimbwa madini, kwa baadae Serengeti haitakuwepo, tupo kimya, Sasa vizazi vyetu vitakuta nini? Vitatuona tulikuwa wajinga kiasi gani?

Rushwa serikalini imekuwa kubwa, mali za umma zinauzwa.

Utekaji na mauaji
Tunaona kawaida Kwa kuwa hatujatekwa au kuuliwa sisi au ndugu wa karibu

Huduma mbovu za kijamii
Shule hazina walimu na madawati. Hospital hakuna madawa, watu hawana bima. Maji hakuna, umeme wa uhakika haupo.

Bunge limekuwa kama sehemu ya kuimba mapambio. Bunge limewekwa mfukoni. Bunge la wananchi linatunga sheria za kuwakandamiza wananchi, rejea mambo ya tozo n.k. Tuko kimya tu.

Tujifunze Kenya wao wale sio makondoo kama Watanganyika
Katiba mpya,katiba mpya hawataki watawala!
 
Watanganyika wamejenga dhana ya kutohoji wala kufuatilia masuala ya kisiasa na kudhani siasa haimunufaishi.

Mtu anaona kwakuwa anakula na kuishi mambo mengine sio ya muhimu, aani kwamba Katiba mpya sio suala linalotuhisu kwakuwa unaamka asbh unapata mkate basi.

Bandari zinauzwa
Serengeti unaenda kuchimbwa madini, kwa baadae Serengeti haitakuwepo, tupo kimya, Sasa vizazi vyetu vitakuta nini? Vitatuona tulikuwa wajinga kiasi gani?

Rushwa serikalini imekuwa kubwa, mali za umma zinauzwa.

Utekaji na mauaji
Tunaona kawaida Kwa kuwa hatujatekwa au kuuliwa sisi au ndugu wa karibu

Huduma mbovu za kijamii
Shule hazina walimu na madawati. Hospital hakuna madawa, watu hawana bima. Maji hakuna, umeme wa uhakika haupo.

Bunge limekuwa kama sehemu ya kuimba mapambio. Bunge limewekwa mfukoni. Bunge la wananchi linatunga sheria za kuwakandamiza wananchi, rejea mambo ya tozo n.k. Tuko kimya tu.

Tujifunze Kenya wao wale sio makondoo kama Watanganyika
Sawa mkuu, na umenena vyedy mwanzo mwenga...
Sasa mshauri chura nini kifanyike ama nini afanye..🤔
 
Nyerere aliharibu sana hii nchi.Alituletea siasa ya hovyoo,Elimu alituharibia kabisa,watu wote walijengewa hofu,walipotaka kupata mageuzi aliingilia kati kumbuka 1995 Mrema alipotikisa nchi yeye akaingilia kati,watu walipodai Tanganyika yao alikataa haya yote ni kwakuwa aliamini Mawazo yake ndiyo sahihi tu,haya yanayotokea muasisi ni yeye, roho inaniuma sana Kwa Serengeti kwenda kutoweka urithi wetu mzanzibari hana anachopoteza tumekaa tu tunashabikia Simba na Yanga aliyetuloga alishatupa funguo baharini
 
Sema umetugharimu miaka mingi na mpaka leo wengi bado ni mazezeta hayajitambui kabisa. CCM nao wameamua kutumia huo Mwanya kuendeleza ushenzi wao dhidi ya Nchi na Raia kwa jumla. Kwakweli ni maumivu makubwa kwa sisi wapenda Demokrasia na Utawala bora kuona wenzetu hata tukiwaamsha hawaamki. Mfano mzuri ni Uchaguzi huu wa Serikali za mitaa unaokuja people are not aware of it at all.
 
Sema umetugharimu miaka mingi na mpaka leo wengi bado ni mazezeta hayajitambui kabisa. CCM nao wameamua kutumia huo Mwanya kuendeleza ushenzi wao dhidi ya Nchi na Raia kwa jumla. Kwakweli ni maumivu makubwa kwa sisi wapenda Demokrasia na Utawala bora kuona wenzetu hata tukiwaamsha hawaamki. Mfano mzuri ni Uchaguzi huu wa Serikali za mitaa unaokuja people are not aware of it at all.
Uchaguzi huu
Utashangaa watashiriki watu 30%
 
Nyerere aliharibu sana hii nchi.Alituletea siasa ya hovyoo,Elimu alituharibia kabisa,watu wote walijengewa hofu,walipotaka kupata mageuzi aliingilia kati kumbuka 1995 Mrema alipotikisa nchi yeye akaingilia kati,watu walipodai Tanganyika yao alikataa haya yote ni kwakuwa aliamini Mawazo yake ndiyo sahihi tu,haya yanayotokea muasisi ni yeye, roho inaniuma sana Kwa Serengeti kwenda kutoweka urithi wetu mzanzibari hana anachopoteza tumekaa tu tunashabikia Simba na Yanga aliyetuloga alishatupa funguo baharini
Umeongea kwa uchungu sana kuashiria unaelewa nini kinaendelea kwenye jamii yetu👏👏👏. Kuna clip moja niliwahi ipitia ikimnukuu Jomo Kenyatta akisema'Wakenya wamelala na muda wowote wanaamka kudai Haki zao,Waganda nikama wagonjwa muda wowote wanaweza kupona nakuanza kudai Haki zao ila Watanganyika nikama Maiti hawawezi kuamka kamwe. Huu ujumbe unanifikirisha sana mana niukweli 💯.
 
Sema umetugharimu miaka mingi na mpaka leo wengi bado ni mazezeta hayajitambui kabisa. CCM nao wameamua kutumia huo Mwanya kuendeleza ushenzi wao dhidi ya Nchi na Raia kwa jumla. Kwakweli ni maumivu makubwa kwa sisi wapenda Demokrasia na Utawala bora kuona wenzetu hata tukiwaamsha hawaamki. Mfano mzuri ni Uchaguzi huu wa Serikali za mitaa unaokuja people are not aware of it at all.
CCM imejenga barabara za lami, hospital,shule,vyuo...nyie mtatufanyia nini hadi mtake tuitoe CCM!?..tutawaamini vipi!?
 
Watanganyika wamejenga dhana ya kutohoji wala kufuatilia masuala ya kisiasa na kudhani siasa haimunufaishi.

Mtu anaona kwakuwa anakula na kuishi mambo mengine sio ya muhimu, aani kwamba Katiba mpya sio suala linalotuhisu kwakuwa unaamka asbh unapata mkate basi.

Bandari zinauzwa
Serengeti unaenda kuchimbwa madini, kwa baadae Serengeti haitakuwepo, tupo kimya, Sasa vizazi vyetu vitakuta nini? Vitatuona tulikuwa wajinga kiasi gani?

Rushwa serikalini imekuwa kubwa, mali za umma zinauzwa.

Utekaji na mauaji
Tunaona kawaida Kwa kuwa hatujatekwa au kuuliwa sisi au ndugu wa karibu

Huduma mbovu za kijamii
Shule hazina walimu na madawati. Hospital hakuna madawa, watu hawana bima. Maji hakuna, umeme wa uhakika haupo.

Bunge limekuwa kama sehemu ya kuimba mapambio. Bunge limewekwa mfukoni. Bunge la wananchi linatunga sheria za kuwakandamiza wananchi, rejea mambo ya tozo n.k. Tuko kimya tu.

Tujifunze Kenya wao wale sio makondoo kama Watanganyika
Tuliandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu kwenye famlia ukivihoji unaweza kuambiwa kama umekuwa uondoke, tabia hii ya kukataa huhojiwa jamii umeamua kuishi nayo hadi kwenye ngazi zote za maisha.

Unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni tabia ya kundi fulani la wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza, kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wa bila utii, (unafiki), a.k.a kujizima data ama kuahirisha kufikiri kizalendo, (,uchawa)
 
Tuliandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanza kwenye ngazi ya familia kuna vitu kwenye famlia ukihoji unaweza kuambiwa kama umekuwa uondoke, tabia hii ya kukataa huhojiwa jamii umeamua kuishi nalo kwenye ngazi zote za maisha.

Unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni tabia ya kundi fulani la wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza, kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wa bila utii, a.k.a kujizima data ama kuahirisha kufikiri kizalendo, (,uchawa)
Watanzania walifuatilia siasa 1995,2000,2005,2010,2015... wapinzani ndiyo hawaeleweki,so tumeona bora CCM iendelee
 
Watanganyika wamejenga dhana ya kutohoji wala kufuatilia masuala ya kisiasa na kudhani siasa haimunufaishi.

Mtu anaona kwakuwa anakula na kuishi mambo mengine sio ya muhimu, aani kwamba Katiba mpya sio suala linalotuhisu kwakuwa unaamka asbh unapata mkate basi.

Bandari zinauzwa
Serengeti unaenda kuchimbwa madini, kwa baadae Serengeti haitakuwepo, tupo kimya, Sasa vizazi vyetu vitakuta nini? Vitatuona tulikuwa wajinga kiasi gani?

Rushwa serikalini imekuwa kubwa, mali za umma zinauzwa.

Utekaji na mauaji
Tunaona kawaida Kwa kuwa hatujatekwa au kuuliwa sisi au ndugu wa karibu

Huduma mbovu za kijamii
Shule hazina walimu na madawati. Hospital hakuna madawa, watu hawana bima. Maji hakuna, umeme wa uhakika haupo.

Bunge limekuwa kama sehemu ya kuimba mapambio. Bunge limewekwa mfukoni. Bunge la wananchi linatunga sheria za kuwakandamiza wananchi, rejea mambo ya tozo n.k. Tuko kimya tu.

Tujifunze Kenya wao wale sio makondoo kama Watanganyika
Nyerere aliharibu sana hii nchi.Alituletea siasa ya hovyoo,Elimu alituharibia kabisa,watu wote walijengewa hofu,walipotaka kupata mageuzi aliingilia kati kumbuka 1995 Mrema alipotikisa nchi yeye akaingilia kati,watu walipodai Tanganyika yao alikataa haya yote ni kwakuwa aliamini Mawazo yake ndiyo sahihi tu,haya yanayotokea muasisi ni yeye, roho inaniuma sana Kwa Serengeti kwenda kutoweka urithi wetu mzanzibari hana anachopoteza tumekaa tu tunashabikia Simba na Yanga aliyetuloga alishatupa funguo baharini
Sema umetugharimu miaka mingi na mpaka leo wengi bado ni mazezeta hayajitambui kabisa. CCM nao wameamua kutumia huo Mwanya kuendeleza ushenzi wao dhidi ya Nchi na Raia kwa jumla. Kwakweli ni maumivu makubwa kwa sisi wapenda Demokrasia na Utawala bora kuona wenzetu hata tukiwaamsha hawaamki. Mfano mzuri ni Uchaguzi huu wa Serikali za mitaa unaokuja people are not aware of it at all.
Chanzo cha kuwepo kwa janga hili ni kutokana na Wananchi wengi Sana kukosa elimu.
Siyo siri hata kidogo, wananchi wengi sana katika nchi hii ni mambumbumbu na mazumbukuku.
 

Attachments

  • IMG_3824.jpeg
    IMG_3824.jpeg
    50.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom