Utambulisho wa Mahusiano kwa member wote wa JamiiForums

Utambulisho wa Mahusiano kwa member wote wa JamiiForums

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,526
Habari za wakati huu wapendwa wa Jamii Forums ningependa tutambulishane tuko katika mahusiano gani na tuna watoto wangapi ili kuondoa utata kwa wale wanaovamiana PM na kukurupukia wake au waume za watu bila kujua.

Binafsi Nina miaka 24 nimeoa na mnamo mwezi wa 7 natarajia kuitwa Baba !.
 
Habari za wakati huu wapendwa wa Jamii Forums ningependa tutambulishane tuko katika mahusiano gani na tuna watoto wangapi ili kuondoa utata kwa wale wanaovamiana PM na kukurupukia wake au waume za watu bila kujua.

Binafsi Nina miaka 24 nimeoa na mnamo mwezi wa 7 natarajia kuitwa Baba !.
Mtaambiana hukooo pm
 
Habari za wakati huu wapendwa wa Jamii Forums ningependa tutambulishane tuko katika mahusiano gani na tuna watoto wangapi ili kuondoa utata kwa wale wanaovamiana PM na kukurupukia wake au waume za watu bila kujua.

Binafsi Nina miaka 24 nimeoa na mnamo mwezi wa 7 natarajia kuitwa Baba !.

Mke wako Ana umri gan?
 
Back
Top Bottom