MalaikaMweupe
Member
- Feb 24, 2009
- 72
- 18
Hodi wana JF?
Kwanza habari zenu?
Naomba mnipokee katika Forum hii ya jamaa.
Ni mimi Malaika mweupe.
Kwanza habari zenu?
Naomba mnipokee katika Forum hii ya jamaa.
Ni mimi Malaika mweupe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana Malaika, Malaika ni watu wa vyoda vyoda tu (wingi wa soda) ha ha ha ha maana kilevi hawagusi. Haya humo kwenye frigde kuna fanta, mirinda na coke na pia orange juice chukua chochote kinachokuvutia pia hapo kwenye kabati kuna sambusa na kababu jichane kadri ya uwezo wako ha ha ha ha. Karibu sana jamvini 🙂
Hodi wana JF?
Kwanza habari zenu?
Naomba mnipokee katika Forum hii ya jamaa.
Ni mimi Malaika mweupe.
usijivunge dogonami nimekuja