Utambuzi kuhusu biashara ya vifaa vya umeme(electrical and electronics devices)

Utambuzi kuhusu biashara ya vifaa vya umeme(electrical and electronics devices)

nesty hustler

New Member
Joined
Jan 30, 2024
Posts
3
Reaction score
3
Habari wapendwa,
Kwa majina naitwa EMMANUEL NESTORY SAGINI, ni mzaliwa wa songea manispaa pia ni muhitimu wa elimu ya ufundi stadi katika fani ya umeme wa majumba na viwanda, ngazi ya tatu ya cheti level three(III) 2023.
Lengo la kuandika makala hii ni kuhitaji kufahamu je ni vitu gani natakiwa kufanya au kuzingatia ikiwa nahitaji kufungua biashara ya vifaa vya umeme,(electrical and electronics devices).
Muhimu⚒️
  • Mtaji
  • Uapatikanaji wa leseni ya biashara
  • Uapatikanaji wa vifaa kwa bei ya jumla
  • Uendeshaji wa biashara,

Mwenye uzoefu kuhusu biashara hiyo mchango tafadhari​

 
Anzia TRA wakakupige kwanza then wakupe Tax Clearance uipeleke Halmashauri huko wakupe leseni yao baada ya wao pia washakupiga hela za kutosha.

Karibu kwenye ujasiliamali.
 
Angalia mahitaji ya eneo ulipo wanahitaji hasa vifaa gan kuhusu mtaji ata kama ukiwa na 2m inatisha kuanzia ukiwa na hela nunua vtu Kwa katoni mfn switches,lamp holder,metal /surface box
 
Anzia TRA wakakupige kwanza then wakupe Tax Clearance uipeleke Halmashauri huko wakupe leseni yao baada ya wao pia washakupiga hela za kutosha.

Karibu kwenye ujasiliamali.
Asante kwa mchango 🤝
Angalia mahitaji ya eneo ulipo wanahitaji hasa vifaa gan kuhusu mtaji ata kama ukiwa na 2m inatisha kuanzia ukiwa na hela nunua vtu Kwa katoni mfn switches,lamp holder,metal /surface box
Asante kwa mchango
 
Back
Top Bottom