Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,433
- 3,210
Ahsante for your best, fact commentMaisha ya Dunia ni mapito tuu. Mema yako ya akhera ndio utabaki nayo milele.. Maovu yako ndio utadumu nayo milele..
Cha kumiss duniani kitaarishe kikusubiri kwenye safari yako huko utakapo kutana na Mola wako Mwenyezi..
Wivu, fitna, majungu na ushirikina hivi tuta vimiss sana..
[emoji23][emoji23][emoji24][emoji24]
Sio chura?Mimi nitammiss sana bwana kitimoto[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1900251
Mkuu nikiwa naenda mikoa ntakutafuta. Kudrive huwa kunanichosha tutapokezana.Hivi vitu nitanvimiss asee[emoji134]
1. Kitimoto
2. Robertson wine, Heineken
3. Kudrive masafaa
4. Sex
5. Kukata gogo
6.music
7.umbea
Daaaah nisife jomoni[emoji848]
Kuna uwezekano tunapoenda hutamiss kitu pia maana mashine ya utambuzi kuwa kuna jambo la kukumbuka tutaiacha kaburini ikiliwa na funza.Hakukuwa na kitu huko mkuu ndomana hatumiss kitu