Utamjibu vipi Ex wako anayetaka mrudiane baada ya wewe kuyapatia maisha?

Utamjibu vipi Ex wako anayetaka mrudiane baada ya wewe kuyapatia maisha?

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Utakuta mdada ulikuwa ukimpenda sana na kumtimizia mahitaji yake kadri ya uwezo wako lakini ghafla huyo keshakugaya anakwenda kujishikiza kwa kamsela kimbaumbau kisa kanamiliki visilver vya kubadilishia mboga.

Eti leo maisha yameninyookea uanze kunitumia vitext vya kuomba turudiane, nitakujibu hivi "mapenzi sio mpira nitoe pass halafu inirudie mimi mwenyewe"
 
Hapo ndio uwanja wa ugenini kama unataka kujaribu staili mpya, au utendaji wa dawa fulani unajaribu hapo. Ikileta au ukipata matokeo positive ndio unaamia kwa penzi.
 
Eti kimbaumbau[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yiyiyiyiyiiiiii yiyiyiiii yi yi yi yi yi yi yi shaaaaaaaaaaaa
 
Itategemeana na Urembo wa huyo Ex wangu, nway Ex wote tuliachana kwa amani[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mwambie tu matokeo aloyapata badala yakuachana nawewe yawe funzo na kuepuka tamaa na njaa kwa bwana ake mwingine atakaempata.
 
kama una kinyongo mwambie hivi... "kafie mbele uko umbwaa wewee"

Lakini best way kabisa kumsulubu x wako ni kupiga kimyaa na endelea ku enjoy life.
 
Back
Top Bottom