Utamjibu vipi Ex wako anayetaka mrudiane baada ya wewe kuyapatia maisha?

Utamjibu vipi Ex wako anayetaka mrudiane baada ya wewe kuyapatia maisha?

Utakuta mdada ulikuwa ukimpenda sana na kumtimizia mahitaji yake kadri ya uwezo wako lakini ghafla huyo keshakugaya anakwenda kujishikiza kwa kamsela kimbaumbau kisa kanamiliki visilver vya kubadilishia mboga

Eti leo maisha yameninyookea uanze kunitumia vitext vya kuomba turudiane, nitakujibu hivi "mapenzi sio mpira nitoe pass halafu inirudie mimi mwenyewe"
umeuliza na umejibu mwenyewe.Wacha mi nipite tu
 
Utakuta mdada ulikuwa ukimpenda sana na kumtimizia mahitaji yake kadri ya uwezo wako lakini ghafla huyo keshakugaya anakwenda kujishikiza kwa kamsela kimbaumbau kisa kanamiliki visilver vya kubadilishia mboga

Eti leo maisha yameninyookea uanze kunitumia vitext vya kuomba turudiane, nitakujibu hivi "mapenzi sio mpira nitoe pass halafu inirudie mimi mwenyewe"
Hili nalo la kutaka ushauri? Kama wakati huna kitu kakupiga chini ni jibu tosha la mustakabali wa mahusiano yenu,huyo ni kicheche hakufai.
 
Kama alikua mtam we 'jidai' umemsamehe ila mfanye 'spare tyre' siku ukiwa na njaa unajipigia huku ukiendelea na mipango yako na demu wa sasa.
 
Vuta mbunye chakata ila hamna kumpa attention. Akilalamika unamla kisha unaendelea na mambo yako yani mgeuze kiwanja cha mazoezi tu
 
Utakuta mdada ulikuwa ukimpenda sana na kumtimizia mahitaji yake kadri ya uwezo wako lakini ghafla huyo keshakugaya anakwenda kujishikiza kwa kamsela kimbaumbau kisa kanamiliki visilver vya kubadilishia mboga

Eti leo maisha yameninyookea uanze kunitumia vitext vya kuomba turudiane, nitakujibu hivi "mapenzi sio mpira nitoe pass halafu inirudie mimi mwenyewe"
"Ni marufuku kurudia matapishi".
 
Baada ya kumuomba X wangu anipikie chapati jana😁😁😁
AAKfga.jpeg
 
Back
Top Bottom