Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 570
umeuliza na umejibu mwenyewe.Wacha mi nipite tuUtakuta mdada ulikuwa ukimpenda sana na kumtimizia mahitaji yake kadri ya uwezo wako lakini ghafla huyo keshakugaya anakwenda kujishikiza kwa kamsela kimbaumbau kisa kanamiliki visilver vya kubadilishia mboga
Eti leo maisha yameninyookea uanze kunitumia vitext vya kuomba turudiane, nitakujibu hivi "mapenzi sio mpira nitoe pass halafu inirudie mimi mwenyewe"
Hili nalo la kutaka ushauri? Kama wakati huna kitu kakupiga chini ni jibu tosha la mustakabali wa mahusiano yenu,huyo ni kicheche hakufai.Utakuta mdada ulikuwa ukimpenda sana na kumtimizia mahitaji yake kadri ya uwezo wako lakini ghafla huyo keshakugaya anakwenda kujishikiza kwa kamsela kimbaumbau kisa kanamiliki visilver vya kubadilishia mboga
Eti leo maisha yameninyookea uanze kunitumia vitext vya kuomba turudiane, nitakujibu hivi "mapenzi sio mpira nitoe pass halafu inirudie mimi mwenyewe"
Billnas married Nandy.X Huwa harudiwi mkuu
My dear Kila mtu na mtazamo wake wewe shika huo wako wa mwingine achana naoBillnas married Nandy.
Achana na mitazamo ya kibwege.
Unamfundisha nini mwenzako hivyo.Kausha,ila akisema "am horny baby" kakojolee sepa
Mi ni mwanamke Ivo namfundisha namna ya kutukomoa😜
[emoji3][emoji3]Kausha,ila akisema "am horny baby" kakojolee sepa
"Ni marufuku kurudia matapishi".Utakuta mdada ulikuwa ukimpenda sana na kumtimizia mahitaji yake kadri ya uwezo wako lakini ghafla huyo keshakugaya anakwenda kujishikiza kwa kamsela kimbaumbau kisa kanamiliki visilver vya kubadilishia mboga
Eti leo maisha yameninyookea uanze kunitumia vitext vya kuomba turudiane, nitakujibu hivi "mapenzi sio mpira nitoe pass halafu inirudie mimi mwenyewe"