Utamjuaje mwanamke mruka ukuta?

Utamjuaje mwanamke mruka ukuta?

Dah,,, wabongo kwa kujadili ujinga,,,,,, ila ukiweka uzi wa maana huoni hata wa kupita,,,,,
This is very serious Mkuuu... Ukitoka madawa ya kulevya kwa vijana.. Kitu kingine cha kinyume na maadili kinachosumbua vijana ni hiki...
 
Siyo wote tuna roho mbaya .kama unavyosema watu wanaambiana kuwa ni nzuri sana kufanya huko.sasa kila mtu anataka kujaribu.haya ukija kwa nyie wakina Dada mko bize masaa 24 kuhakikisha makalio yanaonekana na hata kujitengeneza na madawa ili iweje? Hapa wote wana makosa wanawake kwa wanaume.japo naamini wanaume ndio tuna uwezo wa kubadilisha mawazo ya wanawake kuhusiana na tabia hiyo chafu.
Kabisa mkuu
 
Chukua basi lako liweke getini kwake, kama halijatolewa tangazo ''usizibe geti'', au wakati mwengine anaweza kukufungulia geti kidogo. Ingiza basi lako ndani, shusha mizigo ndani, ukimaliza unarudi rivasi mdogo mdogo.
 
mkuu embu nijibu swali langu vipi kama si mzoefu wala hajawahi jaribu italeta majibu gani?
Mkuu hilo suala ukimfanyia anakuwa hafikirii kama ulidhamiria kula TIGO... Ataona ulilenga kumsaidia kumkuna..pia MTU kama hujawahi kuliwa TIGO.. kuna ulaji wake...unatumia mfumo wa NUSU KICHWA..sio mwili MZIMA...
 
Ukiona demu unamwomba anasema "NTAUMIA" ,jua alishafanywa ila bila mafuta,kwahiyo jiongeze mpake mafuta atakuruhusu na atakwambia muwe mnafanya,hata akiolewa hakuachi hasa kama mumewe anajifanya hapendi hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom